kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesema wataandamana mpaka waondoke. Wanadai ni jeshi dhaifu mnoKDF haijulikani imeenda DRC kufanya Nini?. Ni kama inaogopa direct congratulations na M 23
Wale ni dhaifu na ilijulikana tokea mwanzo hamna kitu watawezaTPDF waende wakawashe moto hao wakenya wameenda kuiba tu na jeshi lao dhaifu mazungumzo kila leo hata hayaeleweki
Tatizo la wananchi wa Kongo hawaelewi taratibu za kulinda amani na kutengeneza amani.Udhaifu wa jeshi la Kenya wasababisha wakazi wa goma kuandamana kushinikiza jeshi hilo dhaifu kuondoka goma lirudi kwao Kenya [emoji1139] baada ya kuonesha udhaifu mkubwa nchini kongo
MK254
Kwanini wanataka jeshi dhaifu la Kenya liondoke sio wengineTatizo la wananchi wa Kongo hawaelewi taratibu za kulinda amani na kutengeneza amani.
Ndio maana wanaingia migogoro na askari wa umoja wa mataifa na haya ya kikanda.
Wao walidhani kulinda na kutengeneza amani ni kwenda kupigana , na walifikiri wanatumia mavifaru, makombora na ma drones kuwasambaraisha ma M23 lakini kinyume wanaona wanafanya doria, kuelimisha na kusuluisha zaidi. Kwao walitaka battle battle
Udhaifu wa jeshi la Kenya wasababisha wakazi wa goma kuandamana kushinikiza jeshi hilo dhaifu kuondoka goma lirudi kwao Kenya [emoji1139] baada ya kuonesha udhaifu mkubwa nchini kongo
MK254
Nchi gani nyingune ya EAC iliyopeleka Jeshi pale? Rwanda au?Kwanini wanataka jeshi dhaifu la Kenya liondoke sio wengine
Congo ina viongozi wajinga,wanajua maana ya kulinda amani?Udhaifu wa jeshi la Kenya wasababisha wakazi wa goma kuandamana kushinikiza jeshi hilo dhaifu kuondoka goma lirudi kwao Kenya [emoji1139] baada ya kuonesha udhaifu mkubwa nchini kongo
MK254
Mkuu Kenya walienda kufanya peace forcing yaani kuwanyang'anya silaha waasi (to disarm).Tatizo la wananchi wa Kongo hawaelewi taratibu za kulinda amani na kutengeneza amani.
Ndio maana wanaingia migogoro na askari wa umoja wa mataifa na haya ya kikanda.
Wao walidhani kulinda na kutengeneza amani ni kwenda kupigana , na walifikiri wanatumia mavifaru, makombora na ma drones kuwasambaraisha ma M23 lakini kinyume wanaona wanafanya doria, kuelimisha na kusuluisha zaidi. Kwao walitaka battle battle
ulitaka kumaanisha confrontation?KDF haijulikani imeenda DRC kufanya Nini?. Ni kama inaogopa direct congratulations na M 23
Hii haiondoi kuwa jeshi la Kenya [emoji1139] ni dhaifuCongo ina viongozi wajinga,wanajua maana ya kulinda amani?
Ona Walinzi wa Waziri mkuu wakizichapa na Wabunge.[emoji116]
Sasa wao ndio wananyanganywa silahaMkuu Kenya walienda kufanya peace forcing yaani kuwanyang'anya silaha waasi (to disarm).
Hata mkuu wao kipindi anatua alisema hivyo
Sudan ndio kuna peace keeping
Yeye vile alivyoandika ndivyo alivyomaanisha. Sasa kumuwekea hiyo confrontation utakuwa unamchanganya ujue. Kwanza atakuwa anakushangaa jinsi usivyoelewa kuwa Congratulation ni Makabilianoulitaka kumaanisha confrontation?
Confrontation....KDF haijulikani imeenda DRC kufanya Nini?. Ni kama inaogopa direct congratulations na M 23
Umeelewa lakiniConfrontation....
Andika kwa kiswahili tu kiongozi..