Wananchi wa Irani wafanya maandamano ya ghasia kushinikiza viongozi wa nchi kujiuzulu

Wananchi wa Irani wafanya maandamano ya ghasia kushinikiza viongozi wa nchi kujiuzulu

Bf Tulinagwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2019
Posts
211
Reaction score
383
Maandamano ya amani ambayo baadae yaligeuka yenye vurugu yafanywa na wananchi wa Irani hasa wanafunzi wa vyuo kulaumu kitendo cha kudungua ndege ya abiria ya ukraine kimakosa., Wanahoji ni kwa nini kiongozi wa kidini wa nchi hiyo Ayatollah Ali Khamenei asiachie ngazi.

Balozi wa United Kingdom(UK) nchini Irani (Rob Macaire)ametiwa nguvuni kwa shutuma za kuhamasisha maandamano hayo.

Wengi wanahoji ni kwanini iruhusiwe kupaa hali ikitiwa shaka??

Chanzo Aljazeera.
 
Kwa hiyo ndio sababu kubwa ya wao kuandamana au kuna kingine ?
kwa sababu kwanini wasingeandamana kwa jeshi kufanya uzembe hadi kiongozi wa Quds kuuwawa,wanakuja kuandamana kwa jeshi kufanya makosa wakati wa kujihami.
Sawa,tuseme jeshi limezembea hiyo ni kweli,katika vyovyote makosa hutokea na hayalazimishwi kuitwa kuwa ni makosa ya kitaaluma,kwani hata wakati wa vta vya Kagera kilitokea kitu kama hicho,je je ,,,,je je je jeeeeeee ?
 
Kwa hiyo ndio sababu kubwa ya wao kuandamana au kuna kingine ?
kwa sababu kwanini wasingeandamana kwa jeshi kufanya uzembe hadi kiongozi wa Quds kuuwawa,wanakuja kuandamana kwa jeshi kufanya makosa wakati wa kujihami.
Sawa,tuseme jeshi limezembea hiyo ni kweli,katika vyovyote makosa hutokea na hayalazimishwi kuitwa kuwa ni makosa ya kitaaluma,kwani hata wakati wa vta vya Kagera kilitokea kitu kama hicho,je je ,,,,je je je jeeeeeee ?
Umesema wakati wa vita ya Kagera ilitokea kitu kaam hicho, Je, Iran ilikuwa kàtika vita?

Sababu zilizotolewa juu ya kamanda wa Quds kuuawa zilitosha kuwafanya wawe watulivu kwa sababu alichoenda kukifanya Iraq lilikuwa tukio la kusikitisha sana.

Iran imeua watu wake na hao watu wamekosa Imani na serikali yao kama inaweza kuwaua hata watu wake wenyewe, hiyo ndio sababu kubwa ya watu hao kuandamana. Kipindi ambacho hakukuwa na tishio lolote la kiusalama wanaamua kufanya uharibu na kuleta huzuni kwa watu wake wenyewe.
 
Umesema wakati wa vita ya Kagera ilitokea kitu kaam hicho, Je, Iran ilikuwa kàtika vita?

Sababu zilizotolewa juu ya kamanda wa Quds kuuawa zilitosha kuwafanya wawe watulivu kwa sababu alichoenda kukifanya Iraq lilikuwa tukio la kusikitisha sana.

Iran imeua watu wake na hao watu wamekosa Imani na serikali yao kama inaweza kuwaua hata watu wake wenyewe, hiyo ndio sababu kubwa ya watu hao kuandamana. Kipindi ambacho hakukuwa na tishio lolote la kiusalama wanaamua kufanya uharibu na kuleta huzuni kwa watu wake wenyewe.
Umeelewa nilivyomalizia kwa kusema JE JE JE JE JE JEEEEEEEE ?
Au niongeze sauti upate kunielewa upya.
 
Umesema wakati wa vita ya Kagera ilitokea kitu kaam hicho, Je, Iran ilikuwa kàtika vita?

Sababu zilizotolewa juu ya kamanda wa Quds kuuawa zilitosha kuwafanya wawe watulivu kwa sababu alichoenda kukifanya Iraq lilikuwa tukio la kusikitisha sana.

Iran imeua watu wake na hao watu wamekosa Imani na serikali yao kama inaweza kuwaua hata watu wake wenyewe, hiyo ndio sababu kubwa ya watu hao kuandamana. Kipindi ambacho hakukuwa na tishio lolote la kiusalama wanaamua kufanya uharibu na kuleta huzuni kwa watu wake wenyewe.
target ya Iran ni kuua majasusi wa kikanada waliopo kwenye ile ndege, hao wairani waliokufa ni collateral damage,

maandamano ni kitu cha kawaida, ufaransa ile yellow vest protest ilidumu kwa miezi zaidi ya 5, Hongkong inakata mwaka sasa na maandamano yao
 
Umesema wakati wa vita ya Kagera ilitokea kitu kaam hicho, Je, Iran ilikuwa kàtika vita?

Sababu zilizotolewa juu ya kamanda wa Quds kuuawa zilitosha kuwafanya wawe watulivu kwa sababu alichoenda kukifanya Iraq lilikuwa tukio la kusikitisha sana.

Iran imeua watu wake na hao watu wamekosa Imani na serikali yao kama inaweza kuwaua hata watu wake wenyewe, hiyo ndio sababu kubwa ya watu hao kuandamana. Kipindi ambacho hakukuwa na tishio lolote la kiusalama wanaamua kufanya uharibu na kuleta huzuni kwa watu wake wenyewe.

Wangeandamana kukumbuka jeshi la Marekani lilivyopiga ndege ya Iran mwaka 1987 na kuua wairan 290 ningewaelewa
 
target ya Iran ni kuua majasusi wa kikanada waliopo kwenye ile ndege, hao wairani waliokufa ni collateral damage,

maandamano ni kitu cha kawaida, ufaransa ile yellow vest protest ilidumu kwa miezi zaidi ya 5, Hongkong inakata mwaka sasa na maandamano yao
Maandamano kwa wengine huwa hayaonekani kama yanavyoonekana kwa wengine.
 
87 tech ilikua kama leo ? Ni aibu 2020 kutungua ndege kimakosa...aibu mkuu [emoji16]

Kosa alilofanya mtu miaka 33 ,ww ndio unalifanya 2020 kweli? Hivyo iran hadi ifike 2053 ndio itakua sophisticated enough na kuacha kufanya hizi errors
Wangeandamana kukumbuka jeshi la Marekani lilivyopiga ndege ya Iran mwaka 1987 na kuua wairan 290 ningewaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
87 tech ilikua kama leo ? Ni aibu 2020 kutungua ndege kimakosa...aibu mkuu [emoji16]

Kosa alilofanya mtu miaka 33 ,ww ndio unalifanya 2020 kweli? Hivyo iran hadi ifike 2053 ndio itakua sophisticated enough na kuacha kufanya hizi errors

Sent using Jamii Forums mobile app

Iran wameitungua bahati mbaya, sana sana wanaweza kulipa familia za marehemu fidia.
Bahati mbaya hutokea
 
Back
Top Bottom