Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

Kazi ya mbunge sio kusaidia Jimbo
Kupeleka mapendekezo kero zote Bungeni na halimashauri kazi ambayo imefanywa vyema na halima mdee ingawa alikuwa akihujumiwa na CCM kwa kiwango cha kutisha
 
Kupeleka mapendekezo kero zote Bungeni na halimashauri kazi ambayo imefanywa vyema na halima mdee ingawa alikuwa akihujumiwa na CCM kwa kiwango cha kutisha
Naam sawa kabisa ila tatizo bado tuna wale vilaza wanaoamini zile kampeni za kizamani za kusema ukinichagua mimi nitaleta maji sijui barabara nakadhalika
 
Sio Halima Mdee tu kwa hakika hatuna kitu walau kiinachokaribia na kuitwa bunge. Hata Bunge la Somalia haliwezi au basi naona nisije kukukorofisha ukakasirika bure
Hujajibu swali nilikokuuliza naona unarukauka tu,maana hata huyo Mdee hawezi kujitetea kama utetezi unatoa wewe hapa.
 
Hujajibu swali nilikokuuliza naona unarukauka tu,maana hata huyo Mdee hawezi kujitetea kama utetezi unatoa wewe hapa.
Kuna tofauti sana kati ya logic na emotion. Na nadhani kinyume na majibu uliyonayo tayari, basi hakuna yeyote anayeweza kukujibu hapa duniani. Nadhani tuishie hapa. Nikirudi Bongo nipe ruhusa nikutafute kama wewe sio gwajima
 
Mshatoka kanisani kwa gwajiboy naona mnakula sadaka za waumini na mabando ya porojo humu
 
Watanzania wote wanajua kuwa Magufuli hapeleki pesa kwa Majimbo ya wapinzani ....!!
Wabunge wanaotoka nje na kususia vikao wanapata wapi nafasi za kuwasilisha, kufuatilia na kusimamia mahitaji ya wananchi wao?
 
Halima Mdee ndio anakusanya kodi ? Tumia akili hata za mbuzi kuvukia barabara kuelewa .
 
Kuna tofauti sana kati ya logic na emotion. Na nadhani kinyume na majibu uliyonayo tayari, basi hakuna yeyote anayeweza kukujibu hapa duniani. Nadhani tuishie hapa. Nikirudi Bongo nipe ruhusa nikutafute kama wewe sio gwajima
Watu wanahoji uwajibikaji wa mbunge kwa wapiga kura wake,wewe unaleta habari za bunge kutokuwa huru. Ina maana huyo Mdee ameshindwa kuwakilisha huko bungeni matatizo ya kwenye jimbo lake sababu ya bunge kutokuwa huru?

Sasa hayo aliyoyaorodhesha Mdee kwenye kitabu kuwa ameyafanya kwenye jimbo lake ameweza vp kuyafanya?
 
Halima Mdee ndio anakusanya kodi ? Tumia akili hata za mbuzi kuvukia barabara kuelewa .
Sasa kama yeye hakusanyi kodi hivyo hatupaswi kumlaumu,sasa alitaka watu wamchague ili aende bungeni kufanya nini?maana watu wamemchagua ili akawawakilishe huko bungeni ila hilo ameshindwa halafu zinakuja hoja za kwamba yeye hakusanyi kodi.
 
mim kama mkazi wa hapa kona uwanjan na uchungu sana.yan kuanzia msikit wa Londa ukwaman kanisan hakuna lami.?? yeye huyu dada kazi kutembea na Matiko sisi tumechoka bora tujaribu wengine
 
Watanzania wote wanajua kuwa Magufuli hapeleki pesa kwa Majimbo ya wapinzani ....!!
Unajua mwanzisha uzi na hao waliojitokeza faster kuchangia ni misukule iliyofufuliwa na mzee wa ufufuo na uzima?
 
Unachokosea mtoa mada ni kwamba huwajui wanakawe kabisaaaa. Pamoja na jitihada zote ulizozifanya na comments nyingi zinaonekana kaandika mtu mmoja, lakini sisi wanakawe tunajua sana kuwa mbunge wala hana uwezo wa kujenga barabara na ndio maana barabara zinajengwa na serikali kwakuwa ndo inayokusanya kodi. Kampeni kama hizi zinawafaa sana wale waumini wa Gwajima wanaoamini mchungaji wao anfufua watu hata hivyo bahati mbaya sana waumini wale asilimia kubwa hawatoki jimbo hili mzee. Wanatoka hukohuko Gongo la mboto
Waumini aliowaambia nimenunua treni wanashangilia?
 
Aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mbona karibu wote mliochangia humu mawazo na hoja zenu ni ya aina moja ?? Kuna namna sio bure[emoji124][emoji124][emoji124]
Huyo porn star Gwajima
 
Watu wanahoji uwajibikaji wa mbunge kwa wapiga kura wake,wewe unaleta habari za bunge kutokuwa huru. Ina maana huyo Mdee ameshindwa kuwakilisha huko bungeni matatizo ya kwenye jimbo lake sababu ya bunge kutokuwa huru?

Sasa hayo aliyoyaorodhesha Mdee kwenye kitabu kuwa ameyafanya kwenye jimbo lake ameweza vp kuyafanya?
Nadhani hujanielewa kabisaa. Nimesema tuishie hapo hapo
 
Wana jamvi, nawasalimu mchana huu na hongera kwa majukumu ya kulijenga Taifa letu pendwa.

Nimefanikiwa kusoma kitabu cha Halima Mdee mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Kitabu chenye title TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA JIMBO LA KAWE 2015-2020, kitabu hiki kimejaa kona nyingi sana na giza nyingi kuanzia mwanzo mpaka mwisho wake. Kuna utekelezaji hewa, fedha zilizoelekezwa hazihakisi kabisa uhalisia wa kile kilichofanyika pamoja na miradi ya kusadikika.

Nina uhakika kabisa mtu aliyemshauri Halima Mdee kuandaa kitabu hicho alijua kuwa hajafanya chochote na ndio njia ya kumuonesha kwa wananchi wamjue tunapoelekea kwenye uchaguzi; asante sana muandaaji na mshauri kwa kutuokoa na kirusi hiki tulichoishi nacho kwa miaka 10.

Kelele nyingi zinazopigwa na Wabunge wa upinzani zinaonekana kuwa za kweli lakini kama utekelezaji ni wa namna hii, basi huenda wapinzani wakawa ni hatari sana kuliko mtu yeyote yule.

Namalizia summary ya kitabu hiki na nitaileta kwenu moja kwa moja

Mzalendo wa Kweli
Kawe-Mikoroshini


Hivi mzalendo wa kweli unajuwa ahadi zote za madiwani na wabunge wawe upinzani au cCM ni ahadi hewa! Nasema hivyo kwa sababu miradi yote ya nchi inasimamiwa na serkali. Pesa inatolewa na serkali. Hao wanaochaguliwa hawana uwezo wa kupeleka miradi huko wanakowakilisha bila miradi hiyo kuwemo katika ahadi za chama tawala. CHADEMA wakichukuwa nchi nao watapeleka miradi kwa wananchi kama invyofanya serkali ya CCM.
 
Back
Top Bottom