Uchaguzi 2020 Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Sasa huyu Mzee anavyojiita Kijana anataka sisi Tuitwe Watoto ama?

Hii siyo fair kabisa, kila mtu ajitambulishe kwa Umri wake bana..

Angesema tu "Mimi ni Mzee wenu kabisa"
Obama said LIFE BEINGS AT FORTY kalaghabaho!
 
Kuna Uhusiano gani Wa huyo JuaLikali na Kilosa?
 
Hahah!
Katiba ya CCM ya sasa hujaisoma na juzi hukusikiliza hotuba ya Malaika akiwaasa watu kutosheka na kutokuwa na tamaa.
Kutosheka na kutokuwa na tamaa wale wote walio serikalini na majeshini...Prof.Kabudi ni "mbunge wa kuteuliwa" Ana jukumu la kugombea ubunge ili km akishinda na ikimpendeza mh.rais bx aendelee kuhudumu wizarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…