Sleeping pills Member Joined Feb 23, 2023 Posts 77 Reaction score 77 Mar 9, 2023 #1 Wananchi wa Mbezi Juu, Baraza la Mitihani wanalalamika sasa ni mwezi hawajaona maji, inabidi watafute maji mbali kwa magari. Kwa gharama hii ya maisha hamuoni ni mzigo mwingine? Kama Dar inakuwa hivi huko vijijini je?
Wananchi wa Mbezi Juu, Baraza la Mitihani wanalalamika sasa ni mwezi hawajaona maji, inabidi watafute maji mbali kwa magari. Kwa gharama hii ya maisha hamuoni ni mzigo mwingine? Kama Dar inakuwa hivi huko vijijini je?
Nrangoo JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 3,407 Reaction score 5,418 Mar 9, 2023 #2 Poleni . shukeni hapo chini mitaa ya makonde maji yapo
Sleeping pills Member Joined Feb 23, 2023 Posts 77 Reaction score 77 Apr 2, 2023 Thread starter #3 Mna shida gani mmerudia tena na nyie ndo mnafanya biashara mnauza maji kwa gari lenu