Sleeping pills
Member
- Feb 23, 2023
- 77
- 77
Wananchi wa Mbezi Juu, Baraza la Mitihani wanalalamika sasa ni mwezi hawajaona maji, inabidi watafute maji mbali kwa magari.
Kwa gharama hii ya maisha hamuoni ni mzigo mwingine?
Kama Dar inakuwa hivi huko vijijini je?
Kwa gharama hii ya maisha hamuoni ni mzigo mwingine?
Kama Dar inakuwa hivi huko vijijini je?