Wananchi wa tabaka la chini wazidi kuonewa na umasikini uliokithiri, huku Viongozi wakiendelea kuishi kihafahari kupitia kodi za walala hoi

Wananchi wa tabaka la chini wazidi kuonewa na umasikini uliokithiri, huku Viongozi wakiendelea kuishi kihafahari kupitia kodi za walala hoi

Waafrika waliishi maisha bora Sana kabla ya UHURU.

Ajira tele, uhakika wa masoko.

Walipigania UHURU walipigania maslai yao binafsi kupitia hadaa ya wengi,

Ushahidi ni jinsi wao na familia zao wanavyoishi kifahari huku majority ya waafrika wakiishi kimasikini.
 
Mazingira ya tulipotokea yanachangia tunapoishia lakini kuna watu wana roho mbaya. Uwezi zuia tamaa za watu wote kwenye nchi ya watu takribani million 50-60 mtu anaekupa hiyo kazi anakuonea.

Lakini wewe kiongozi kwenye nchi ya watu maskini kwa mshahara wako na posho ni zaidi ya millioni kumi kwa mwezi lazima uwe na wasi na watu wako maskini.

Nyumba ghorofa bule

Watoto wako wanasoma private kwa gharama za walipa kodi

Na mambo mengine ya ovyo unayofaidi kwa kodi zao.

Sasa chukulia wewe umetoka familia maskini unaweza vipi kulala kwa amani; wakati umefika hapo kwa madai ya kusaidia watu maskini unasahau vipi ulipotoka.

Unajua uongozi ni dhamana hizi nchi za wenzetu awawezi kukuacha kama ugusi jamii.

Yaani mimi sio kiongozi lakini napata shida nikiona umaskini wa watu wengine mpaka mwili unanisisimuka na siishi kwa kodi zao.

Unakuwaje comfortable na watu maskini bei za bidhaa zikipanda, hao watu wakiwa hawana access na medical care, mazingira ya elimu ovyo.

Seriously mimi naishi kijijini ila siku niliyokuja mjini niliogopa na kuishi kwa kuumia sana mpaka kuna anasa kufanya naona aibu kwa hela niliyoitafuta mwenyewe kutoka kijijini.

Wewe Kiongozi una raha gani unaeishi kwa kodi za hawa watu bila ya mbinu za kuwatoa hao watu walipo.

Aiwezekani sio sawa hawa watu mnaowalelea kuwa viongozi. Aiwezekani mtu raia kama mimi unamuona unajisikia vibaya halafu kiongozi wake aone poa.

The woman has to go; kumvumilia huyu mama ni kiwango chetu cha upuuzi.
Dah

Hii hali uanyoiongelea imeanza lini?
 
Ndoto tuliyo nayo kwa sasa ni ya miaka 9, shuruba za walalahoi zitajitatua mbere kwa mbere, wacha nipige gahawa kidogo hapa......
 
Umaskini unauma hasa unapokuwa umesomesha ajira na teuzi wanajipa wenyewe.

Unafikiri teuzi zitatosha kwa watanzania woote, na bado wewe ukiteuliwa na mimi nitalalamika teuzi sizipati... Kila jambo duniani lazima liwe na chanzo au connection ya kupatikana kwake, cha muhimu mifumo iwe strong kila anayekaa awe na vigezo vya kukaa hapo na michakato iliyowekwa ifuatwe..
 
🐒🐒🐒
16484670847290.jpg
 
👇😁😁😁
 
Back
Top Bottom