Wananchi wa Tanzania wanahitaji hamasa kubwa katika kujituma kutafuta hela halali na kuacha uvivu

Wananchi wa Tanzania wanahitaji hamasa kubwa katika kujituma kutafuta hela halali na kuacha uvivu

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Nimekutana na watu wazima kadhaa wenye ujuzi katika eneo fulani, tatizo kubwa ni kwamba watu hao ni wavivu na tegemezi.

Fikiria unamuita mtu ili akufanyie kazi fulani ambayo utamlipa, halafu mtu huyo anakuomba umlipie nauli ya kuja eneo kazi ilipo.

Hii ni halali kweli? Au ni utegemezi wa kifikra?

Na wakati mwingine unaweza kweli kumlipia nauli na akafika kuanza kazi lakini akashindwa kumaliza kazi hiyo kwa wakati. Kila siku anatoa udhuru. Mara amefiwa, mara mtoto anaumwa. Sababu zinakuwa nyingi.

Iwekwe sheria kali kwa kila mtu mzima kuhakikisha anazalisha na kulipa kodi. Na sio kutegemea ajira za serikalini pekee. Au kutegemea kupokea msaada kutoka kwa ndugu, jamaa au rafiki waliofanikiwa. Huo ni unyonyaji.
 
Ujamaa wa Nyerere ulipanda mbegu ya uvivu uzembe na elimu duni sio rahisi kuuondoa hivi karibuni, unashangaa watu wazima kabisa j3 asubuhi wako kwenye vijue vya kahawa zaidi ya masaa sita kujadili mpira siasa wanawake.
 
Ujamaa wa Nyerere ulipanda mbegu ya uvivu uzembe na elimu duni sio rahisi kuuondoa hivi karibuni, unashangaa watu wazima kabisa j3 asubuhi wako kwenye vijue vya kahawa zaidi ya masaa sita kujadili mpira siasa wanawake.
Na baadae wanaanza kuombaomba msaada kwa ndugu au jamaa wanajitaabisha kutafuta kipato.
Hii si sawa.
 
Na baadae wanaanza kuombaomba msaada kwa ndugu au jamaa wanajitaabisha kutafuta kipato.
Hii si sawa.
Mswahiki hata akila vibaya, au alale pabaya na watoto wa siende shuke anaridhika tu ni watu waajabu sanaa priorities zao sana ni ngono na kupiga stori za uongo vijueni
 
Ujamaa wa Nyerere ulipanda mbegu ya uvivu uzembe na elimu duni sio rahisi kuuondoa hivi karibuni, unashangaa watu wazima kabisa j3 asubuhi wako kwenye vijue vya kahawa zaidi ya masaa sita kujadili mpira siasa wanawake.
Yaani inasikitisha kwa kweli..kuna siku nilipita Wilaya ya Temeke asubuhi,siku ya kazi, nilikuta vijana wengi viwanja mbali mbali ,wanasakata SOKA
 
Nimekutana na watu wazima kadhaa wenye ujuzi katika eneo fulani, tatizo kubwa ni kwamba watu hao ni wavivu na tegemezi...
Na kitu cha kushangaza kuhusu watu wa namna hiyo huwa wanakuaga magenius sana kwenye field zao, kama ni kazi ukimpa na akabahatika kuimaliza basi anakupatia kazi safi sana na ndio maana waliowengi wanapendewa hapo licha ya mauvivu yao.
 
Na kitu cha kushangaza kuhusu watu wa namna hiyo huwa wanakuaga magenius sana kwenye field zao, kama ni kazi ukimpa na akabahatika kuimaliza basi anakupatia kazi safi sana na ndio maana waliowengi wanapendewa hapo licha ya mauvivu yao.
Mtanzania akifikisha miaka 50 anakataa tama ya kazi anaanza kuwazia kifo chake ni watu wa ajabu sanaa.
 
Na kitu cha kushangaza kuhusu watu wa namna hiyo huwa wanakuaga magenius sana kwenye field zao, kama ni kazi ukimpa na akabahatika kuimaliza basi anakupatia kazi safi sana na ndio maana waliowengi wanapendewa hapo licha ya mauvivu yao.
Yes. Wengi wao wanakuwa na ujuzi na umahiri.
Wanachopaswa kukumbuka ni kwamba binadamu tunategemeana. Mteja anahitaji huduma na yeye anahitaji fedha. Kila mmoja amheshimu mwenzake
 
Mtanzania akifikisha miaka 50 anakataa tama ya kazi anaanza kuwazia kifo chake ni watu wa ajabu sanaa.
😆😆😆😆 tatizo malengo mkuu... wengine wanaishi kwenye nyumba za urithi kwahiyo wanatafutaga pesa ya mboga tu kabla mwezi wa zamu yake ya kupokea kodi kufika... na Huo mwezi ukifika kazi yenyewe hataki
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] tatizo malengo mkuu... wengine wanaishi kwenye nyumba za urithi kwahiyo wanatafutaga pesa ya mboga tu kabla mwezi wa zamu yake ya kupokea kodi kufika... na Huo mwezi ukifika kazi yenyewe hataki
Akili zao nikama zime duma utawazaje kifo wakati huo huo umempa mama tolie mimba, kazi hutaki lakini kuzaa unazaa kama sio udumavu wa akili ni nini?
 
mtu kama hana hata afanyaje,mfumo wenyewe ndo unata iwe ivo.....wasionacho wawe wengi ili mambo yaende...unadhani huyo akiwa na uwezo kaama wako angekuja?
 
Yes. Wengi wao wanakuwa na ujuzi na umahiri.
Wanachopaswa kukumbuka ni kwamba binadamu tunategemeana. Mteja anahitaji huduma na yeye anahitaji fedha. Kila mmoja amheshimu mwenzake
Kuridhika ndio shida zinazowatesa wengi.
 
Nimekutana na watu wazima kadhaa wenye ujuzi katika eneo fulani, tatizo kubwa ni kwamba watu hao ni wavivu na tegemezi..

Fikiria unamuita mtu ili akufanyie kazi fulani ambayo utamlipa, halafu mtu huyo anakuomba umlipie nauli ya kuja eneo kazi ilipo.
Hii ni halali kweli? Au ni utegemezi wa kifikra?

Na wakati mwingine unaweza kweli kumlipia nauli na akafika kuanza kazi lakini akashindwa kumaliza kazi hiyo kwa wakati. Kila siku anatoa udhuru. Mara amefiwa, mara mtoto anaumwa. Sababu zinakuwa nyingi.

Iwekwe sheria kali kwa kila mtu mzima kuhakikisha anazalisha na kulipa kodi. Na sio kutegemea ajira za serikalini pekee. Au kutegemea kupokea msaada kutoka kwa ndugu, jamaa au rafiki waliofanikiwa. Huo ni unyonyaji
Fact. Hapo watu inabidi wazinduke wenyewe sio kusubiri mpaka serikali iingilie kati hali ya kua walengwa ni watu wazima na jambo nilakuwanufaisha wao wenyewe
 
Akili zao nikama zime duma utawazaje kifo wakati huo huo umempa mama tolie mimba, kazi hutaki lakini kuzaa unazaa kama sio udumavu wa akili ni nini?
Asili ya watu wa pwani hiyo mkuu... ukishaona mtu kwenye maswala ya fedha anaanza kuingizia rizki ujue test yake na fedha ni ndogo sana kwahiyo akipata hiyo riziki (rizki) ya kula wiki nzima atakaa ndani hadi ziishe ndio arudi kutafuta rizki😂😂😂😂
 
Asili ya watu wa pwani hiyo mkuu... ukishaona mtu kwenye maswala ya fedha anaanza kuingizia rizki ujue test yake na fedha ni ndogo sana kwahiyo akipata hiyo riziki (rizki) ya kula wiki nzima atakaa ndani hadi ziishe ndio arudi kutafuta rizki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tabora, Sigida kondoa na sehumu mwanza mjini pia ni pwani? Mbona hao wa vivu wamejaa tangu asubuhi iko kijueni anapiga zogo jioni anaomba 300 ya kuendea nyumbani kwake, Tanzania ilisha haribika na sissa za ujamaa.
 
Ndiyo na nyie mjifunze muwe na skills syo lazima kila kitu umuite mtu

Ova
 
Back
Top Bottom