Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Hatari sana... kwahiyo hili ni tatizo la kitaifa sioTabora, Sigida kondoa na sehumu mwanza mjini pia ni pwani? Mbona hao wa vivu wamejaa tangu asubuhi iko kijueni anapiga zogo jioni anaomba 300 ya kuendea nyumbani kwake, Tanzania ilisha haribika na sissa za ujamaa.