Wananchi wa Tegeta "A" waandamana hadi ofisi za serikali za mitaa kupinga Ongezeko la nauli kutoka 500 hadi 1,000

Wananchi wa Tegeta "A" waandamana hadi ofisi za serikali za mitaa kupinga Ongezeko la nauli kutoka 500 hadi 1,000

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

Screenshot 2025-03-12 214631.png
 
Mh nauli kupanda na kwenda kwa mwenyekiti kunahusikaje?

Hembu wajuvi wa mambo waje kutupa mwongozo. Imekaajekaaje hapo
 
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

View attachment 3268283
Mitano Tena
 
Wanaogopa kumface Mama na Mawaziri wake wanamuangushia jumba bovu mwenyekiti.
 
🎤Waacheni waandamane eee ccm mbele kwa mbele 🎤🪕
 
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

View attachment 3268283
Anajibu hivyo kama nani? Na wamepandisha nauli kwa ruhusa ya nani?
 
Inaonesha wananchi wa tegeta hawajui pakuelekeza shida zao.wanamtwisha majukumu mwenyekiti ambaye hahusiki na kupandisha nauli
 
M/kit wa mtaa ndio instrument ya ku regulate nauli ??!
Au ndio mimi cjui

Hapa wa Tz kweli sisi tumelala na Elimu tuliyopew sio iliyopaswa
 
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

View attachment 3268283
Hamkuelewa kula urefu wa kamba yako...
 
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

View attachment 3268283
hv mwenyekiti ni muwakilishi wa wananchi au msemaji wa serikali , hii ccmu inatuingiza shimon

Kwasasa wananchi hawana msemaji kbs
 
M/kit wa mtaa ndio instrument ya ku regulate nauli ??!
Au ndio mimi cjui

Hapa wa Tz kweli sisi tumelala na Elimu tuliyopew sio iliyopaswa
wananchi wapo sahihi ila mwenyekiti ndo kazingua alipaswa afikishe kero za wananchi sehemu sahihi .

MWENYEKITI ANASAHAU KUWA YEYE NI MUWAKILISHI WA WANANCHI , KAAMUA KUJIBU HAPO HAPO AMBAPO JIBU HALIKUPASWA KUTOKA DIRECT KWAKE
 
wananchi wapo sahihi ila mwenyekiti ndo kazingua alipaswa afikishe kero za wananchi sehemu sahihi .

MWENYEKITI ANASAHAU KUWA YEYE NI MUWAKILISHI WA WANANCHI , KAAMUA KUJIBU HAPO HAPO AMBAPO JIBU HALIKUPASWA KUTOKA DIRECT KWAKE
Saw mkuu kwa malekebisho
 
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta "A" katika Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kwa wingi na kuelekea ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo wakipaza sauti zao kupinga ongezeko la nauli kutoka shilingi 500 hadi 1,000 kwa wanaotumia usafiri wa Daladala na Bajaji za kuchangia.

Wakizungumza kwa hasira, wananchi hao wamesema kupanda kwa nauli kumewaathiri kwa kiasi kikubwa, hasa wafanyakazi wa kipato cha chini na wanafunzi wanaotegemea usafiri huo kila siku.

Akijibu malalamiko yao, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Protus Ruwanda, amesema kupanda kwa nauli kumetokana na hali mbovu ya miundombinu, hususan barabara, hali inayoongeza gharama za uendeshaji kwa watoa huduma za usafiri.

View attachment 3268283
Ukiona anateteeea anazo zake za maana
 
M/kit wa mtaa ndio instrument ya ku regulate nauli ??!
Au ndio mimi cjui

Hapa wa Tz kweli sisi tumelala na Elimu tuliyopew sio iliyopaswa
Ndio maana Tundu Lissu akisema baba wa taifa alituingiza chaka tena lenye giza nene muwe mnamuelewa
 
Back
Top Bottom