Landrover 109
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 384
- 597
😀😀Tume ulizia sana kila siku mna tupanga tu [emoji81] failureView attachment 2136439
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Tume ulizia sana kila siku mna tupanga tu [emoji81] failureView attachment 2136439
Kadiri Urusi inashindwa kuteka Kiev ndio wananchi wanapata ujasiri na kuwa sugu.
Putin ana shida maana itabidi aue hadi wananchi kwenye nchi yao...
😂😂Wamegeuka kuwa Comedians,hata Putin akijua kuna Warusi wa mbangala wanampigia propaganda za kipuuzi hivi,hakika atawabatua makofi
Tumuulize Nani Sasa?wewe si uelezee hapa...Kuanzia jana jioni, ulizia namna wanavyoshughulikiwa na majeshi ya Russia. ....! Pia ulizia raia wa Kiev wanaichukuliaje serikali ya mji huo na viongozi wa nchi hiyo. Wewe uliza tu utapata majibu!
Tumuulize Nani Sasa?wewe si uelezee hapa...
southfront.org
Summarize kwa kiswahili...wanasemaje hapo![]()
Russia Changes Tactics: Seventh Day Of Operations In Ukraine
DEAR FRIENDS. IF YOU LIKE THIS TYPE OF CONTENT, SUPPORT SOUTHFRONT WORK : MONERO (XMR): 84eCJf22Yz39rHwoz6vf3hdcWmbCY336eAUoLXpSj1Q3boP8crzKdDq3R5f72RjFmTJBctSH6DFRuPmEaWiQP59mBzoG2sN BITCOIN (BTC): bc1qctv99yh0ewg6x5r9fy5e7lqm28t9rza4h4cy4k BITCOIN...southfront.org
Sawa.Summarize kwa kiswahili...wanasemaje hapo
Aulizwe nani mbona unakaza mdomo wa juu tu,Kuanzia jana jioni, ulizia namna wanavyoshughulikiwa na majeshi ya Russia. ....! Pia ulizia raia wa Kiev wanaichukuliaje serikali ya mji huo na viongozi wa nchi hiyo. Wewe uliza tu utapata majibu!
sawaAulizwe nani mbona unakaza mdomo wa juu tu,
Lete vyanzo vya habari hapa Kiev wanaichukuliaje serikali yao, dunia ipo wazi sana mwenzako kaeka picha kuonyesha ukrain wanavyojali nchi yao
Ungetuambia tu boss......hatuna wa kumuuliza hayo maswali.Kuanzia jana jioni, ulizia namna wanavyoshughulikiwa na majeshi ya Russia. ....! Pia ulizia raia wa Kiev wanaichukuliaje serikali ya mji huo na viongozi wa nchi hiyo. Wewe uliza tu utapata majibu!
Rejea post number 28 ya uzi huu kuna majibu..Ungetuambia tu boss......hatuna wa kumuuliza hayo maswali.
Idd amini,M23,Sychell,Liberia,Renamo,Buyoya,Commoro.nkWajasiri..... Mungu awatie nguvu.....Wanaume wa Tanzania tungeona vumbi tu.
Tuulinze kwa nani sasa. Ww ungeelezea sasaKuanzia jana jioni, ulizia namna wanavyoshughulikiwa na majeshi ya Russia. ....! Pia ulizia raia wa Kiev wanaichukuliaje serikali ya mji huo na viongozi wa nchi hiyo. Wewe uliza tu utapata majibu!
Nimuulize Nani mkuu?nisimulie nini kilitokea,waliacha vumbi?Muulize
Idd amini,M23,Sychell,Liberia,Renamo,Buyoya,Commoro.nk
tayari nimeishaeleza bandiko nambs 28Tuulinze kwa nani sasa. Ww ungeelezea sasa