Elections 2010 Wananchi waamua kumchakachua mbunge aliyeshinda kwa wizi wa kura-mbeya vijijini

Elections 2010 Wananchi waamua kumchakachua mbunge aliyeshinda kwa wizi wa kura-mbeya vijijini

I think that is the best way instead of waiting for long process of court, we should do the same to Mahanga and the rest
 
Mbunge wa CCM Mchungaji Mwanjale [ aliwahi kupata ubunge kwa ujanja katika uchaguzi mdogo miaka ya nyuma] amevamiwa na wananchi wenye hasira baada ya kuhonga tume ya uchaguzi, na kumfanya ashinde kwa kuchakachua, Shitambala mgombea wa CHADEMA ndiye aliyeshinda ki uhalali ila hakutangazwa na tume. Wananchi hawa wako tayari kurudia uchaguzi kwa gharama zao wenyewe.

Hii ni moja ya sehemu kati ya zile walizomwonyesha Vidole viwili Mama Salma Kikwete.


huyo sina uhakika kama ni mchungaji
 
Mbunge wa CCM Mchungaji Mwanjale [ aliwahi kupata ubunge kwa ujanja katika uchaguzi mdogo miaka ya nyuma] amevamiwa na wananchi wenye hasira baada ya kuhonga tume ya uchaguzi, na kumfanya ashinde kwa kuchakachua, Shitambala mgombea wa CHADEMA ndiye aliyeshinda ki uhalali ila hakutangazwa na tume. Wananchi hawa wako tayari kurudia uchaguzi kwa gharama zao wenyewe.

Hii ni moja ya sehemu kati ya zile walizomwonyesha Vidole viwili Mama Salma Kikwete.
wamchakachue tu kama alivyochakachua kura
 
Hawa nao si wangeenda kimya kimya usiku tuu ona sasa mpaka dola imejuaaaaaaaaaaaaa.
Wanaweza ata kumpiga juju si ni mbeya vijijini

Juju slaa ya mnyonge. Wakubwa wengi ndani ya CCM wanaiogopa kweli kweli.
 
huyo sina uhakika kama ni mchungaji
Mi pia nina mashaka kama si mchungaji bandia. Hata Yesu alisema kuna mbwa mwitu wakali ndani ya ngozi ya kondoo.
Mchungaji wa kweli anatakiwa kupinga wizi hata kama anayefanya hivyo ni mkewe...sasa hii tena.....
 
Back
Top Bottom