johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Na chama mmeanza kukikanaHaijafahamika mwenyekiti huyo anatokea chama gani.
Wenyeviti wote wanajulikana walitoka chama gani uchaguzi uleee...Wananchi wenye hasira wa mtaa wa Kishiri huko Nyamagana Mwanza wamebomoa nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa kwa madai ya kumuua kijana mmoja aitwaye Kinyasi
Inadaiwa mwenyekiti huyo alimkamata Kinyasi kwa madai kuwa aliiba ndala na kumpiga hali iliyopelekea kifo chake.
Haijafahamika mwenyekiti huyo anatokea chama gani.
Source ITV habari!
Chama lzm kiwe ccmNa chama mmeanza kukikana
Kama ccm wana tabia hizo, basi mama nadhani anatokea cuf ππHuyo mwenyekiti bila shaka ni kada wa CCM. Ndio chama chenye tabia za ajabu ajabu hapa Tanzania (kama Kuua/Kuchapa Raia Fimbo/Kujaza Mimba Wanafunzi/Wizi/Uongo/Ufisadi/Uonevu).
Kasoro Mama Yetu Samia Suluhu.
Huyo mwenyekiti bila shaka ni kada wa CCM. Ndio chama chenye tabia za ajabu ajabu hapa Tanzania (kama Kuua/Kuchapa Raia Fimbo/Kujaza Mimba Wanafunzi/Wizi/Uongo/Ufisadi/Uonevu).
Kasoro Mama Yetu Samia Suluhu.
Alipozinduka akapozwa na ukuu wa wilaya!View attachment 1747960
Huyu hana hamu na Ndugai
Kama ndivyo huyo Mkuu wa Mkoa alikuwa wapi kumchukulia hatua?Mkuu wa mkoa kasema huyo dogo alikuwa na record ya uhalifu
Hahaha eti chama gani,mbona iko waziWananchi wenye hasira wa mtaa wa Kishiri huko Nyamagana Mwanza wamebomoa nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa kwa madai ya kumuua kijana mmoja aitwaye Kinyasi
Inadaiwa mwenyekiti huyo alimkamata Kinyasi kwa madai kuwa aliiba ndala na kumpiga hali iliyopelekea kifo chake.
Haijafahamika mwenyekiti huyo anatokea chama gani.
Source ITV habari!
Mwenyekiti wa Bavicha anaishi mitaa ile bwashee!Hahaha eti chama gani,mbona iko wazi
Hahaha uchaguzi ule mnajua mlichofanyaMwenyekiti wa Bavicha anaishi mitaa ile bwashee!
ππππ Ccm na madaraka!!Alipozinduka akapozwa na ukuu wa wilaya!
Kwa hiyo mwenye tabia ya uhalifu mwenyekiti anaruhusiwa kumuua? Huyu mkuu wa mkoa ajitathmini sio anatangulia kutoa hukumu haoni kwamba hapo anamtetea muuaji wakati wananchi wanadai ndio tabia yake?Mkuu wa mkoa kasema huyo dogo alikuwa na record ya uhalifu, lakini amewasema wananchi huku akiruka kusema kosa la mwenyekiti kumuua mtoto
Source: star tv Habari