johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakazi wa Kondo maeneo ya Mwaitenda na Bunge st katika kata ya kunduchi wilayani kinondoni wamepanga kuandamana hadi kwa RC Makonda kupinga serikali yao ya mtaa kuwachangisha michango kinyume cha utaratibu.
Wakazi hao wamedai serikali ya awamu ya 4 wakati Makonda akiwa DC wa Kinondoni ilishatoa fedha za ujenzi wa mfereji wa kupeleka maji hayo baharini baada ya Rais Kikwete kutembelea eneo hilo.
Sasa wanashangaa iweje tena waanze kuchangishwa kiasi kikubwa cha fedha bila kuwepo kikao chochote cha wananchi?
Wananchi hao wameitaka CCM kuwa makini kwani huu ni mwaka wa uchaguzi.
Source: Global
Maendeleo hayana vyama!
Wakazi hao wamedai serikali ya awamu ya 4 wakati Makonda akiwa DC wa Kinondoni ilishatoa fedha za ujenzi wa mfereji wa kupeleka maji hayo baharini baada ya Rais Kikwete kutembelea eneo hilo.
Sasa wanashangaa iweje tena waanze kuchangishwa kiasi kikubwa cha fedha bila kuwepo kikao chochote cha wananchi?
Wananchi hao wameitaka CCM kuwa makini kwani huu ni mwaka wa uchaguzi.
Source: Global
Maendeleo hayana vyama!