Du! una mkwara mzito jamaa yangu!
Seen!Oh well...It's your call and I hope you know what you're getting yourself into.....don't say I didn't warn you.
Only Nyani Ngabu alikula za uso not mine.inyi kwisha onja joto ya jiwe... sisi engine buzi tuko kula bua bichi!!!
....is that what you mean?Seen! and considered
Kheeee!!! Ina maana ushaanza kujipigia krosi huyo 'check sista' nini? Shauri lako.....siku utakapopigwa mzinga wa dolari alfu tatu za kununulia pochi ya Hermes usije kunikopa :becky:
GAIJIN weye ni mrembo kushinda CHEUSIMANGALA?
le'me taste the dishes.
only PM will do
Havina gharama kabisa...sio kama kina Gaijin & Co. :becky::becky::becky:
Kunta, washkaji wengine hawa nuksi bana... hawajui kukanyaga breki!!