Wananchi walipofunga barabara

Wananchi walipofunga barabara

inyi kwisha onja joto ya jiwe... sisi engine buzi tuko kula bua bichi!!!
Only Nyani Ngabu alikula za uso not mine.

Mie huwa sina muda wa kutokea huwa nazungumza nao sentensi ya pili au ya mwisho.
Nimekupa clue kidogo hapo how to shorten utongozaji..

Ila huo mkwara wako ndo unasababisha GAIJIN atafute mtu mstaarab kama mie..
read my lips hahahaha
 
Kheeee!!! Ina maana ushaanza kujipigia krosi huyo 'check sista' nini? Shauri lako.....siku utakapopigwa mzinga wa dolari alfu tatu za kununulia pochi ya Hermes usije kunikopa :becky:

NN kwani wewe unanionaje?
This sister got more than enough for a Hermes birkin bag and a Tiffany's chain. ..............😉
 
Havina gharama kabisa...sio kama kina Gaijin & Co. :becky::becky::becky:

Hawana cha afadhali mkuu nilichukua mmoja baada ya kula mbuzi choma ya elfu kumi na serengeti 10 na bado halewi ikabidi niondoke kimya kimya.
 
Back
Top Bottom