Kuna wale wanasema Samia hafanyi chochote bora Chadema lakini Msigwa kawaproove wrong na kuhamia CCM kumaanisha Samia is an icon of a nation in all aspects.
Kuna wale wanasema Samia anafanya mambo lakini wanasikia mikutano ya Chadema na kumproove wrong kwa trivial issues eti anauza bandari na mbuga za wanyama lakini kindi hili pia hawajua wapi pa kushika.
Samia has confused the nation totally.
Kuna wale wanasema Samia anafanya mambo lakini wanasikia mikutano ya Chadema na kumproove wrong kwa trivial issues eti anauza bandari na mbuga za wanyama lakini kindi hili pia hawajua wapi pa kushika.
Samia has confused the nation totally.