maza na ccm nchi imewashinda hata kama ahamie mbowe bado ccm ni janga kwa taifaKuna wale wanasema Samia hafanyi chochote bora Chadema lakini Msigwa kawaproove wrong na kuhamia CCM kumaanisha Samia is an icon of a nation in all aspects.
Kuna wale wanasema Samia anafanya mambo lakini wanasikia mikutano ya Chadema na kumproove wrong kwa trivial issues eti anauza bandari na mbuga za wanyama lakini kindi hili pia hawajua wapi pa kushika.
Samia has confused the nation totally.
Kwani huko chadema msiwe mnawashibisha ili wawe na shibe kamili? Au kila mwanachadema hana shibeee?Wakati mwingine ni upotevu wa muda kujadili njaa na maslahi ya mtu mwingine asiyekuhusu.
mbona unaongea ukweli mgumu na mchungu sana aisee ๐Kuna wale wanasema Samia hafanyi chochote bora Chadema lakini Msigwa kawaproove wrong na kuhamia CCM kumaanisha Samia is an icon of a nation in all aspects.
Kuna wale wanasema Samia anafanya mambo lakini wanasikia mikutano ya Chadema na kumproove wrong kwa trivial issues eti anauza bandari na mbuga za wanyama lakini kindi hili pia hawajua wapi pa kushika.
Samia has confused the nation totally.
Dah! Umenichukulia kama mimi ni mwanachama wa CHADEMA, tena yule mwenye cheo kwenye ile kamati kuu!! Kumbe hata kadi yao tu uanachama siifahamu rangi yake.Kwani huko chadema msiwe mnawashibisha ili wawe na shibe kamili? Au kila mwanachadema hana shibeee?
Sasa huu muhemko wa kusema eti mtu kuhama chama kimoja kwenda kingine eti ni njaa umeutoa wapiiDah! Umenichukulia kama mimi ni mwanachama wa CHADEMA, tena yule mwenye cheo kwenye ile kamati kuu!! Kumbe hata kadi yao tu uanachama siifahamu rangi yake.
Mbona kama unataka kujipa jukumu gumu la kutaka kunipangia cha kuongea humu jukwaani? Huo ni mtazamo wangu mimi ka mimi. Sijakulazimisha uukubali/uuamini! Sawa?Sasa huu muhemko wa kusema eti mtu kuhama chama kimoja kwenda kingine eti ni njaa umeutoa wapii
Kunamitazamo hasi. Kila mtu anauhuru wa kuingia na kujiunga na chama chochote akipendacho, na hii ndio faida ya democrasia ya vyama vingi.Mbona kama unataka kujipa jukumu gumu la kutaka kunipangia cha kuongea humu jukwaani? Huo ni mtazamo wangu mimi ka mimi. Sijakulazimisha uukubali/uuamini! Sawa?
Sawa.Kunamitazamo hasi. Kila mtu anauhuru wa kuingia na kujiunga na chama chochote akipendacho, na hii ndio faida ya democrasia ya vyama vingi.
Rushwa ni adui wa haki,Ahadi kumi za MWANA TANU bado hazijafutika.Kuna wale wanasema Samia hafanyi chochote bora Chadema lakini Msigwa kawaproove wrong na kuhamia CCM kumaanisha Samia is an icon of a nation in all aspects.
Kuna wale wanasema Samia anafanya mambo lakini wanasikia mikutano ya Chadema na kumproove wrong kwa trivial issues eti anauza bandari na mbuga za wanyama lakini kindi hili pia hawajua wapi pa kushika.
Samia has confused the nation totally.