Wananchi wanalalamika tozo, Mbunge badala ya kuwatetea anaipigia debe Serikali

Wananchi wanalalamika tozo, Mbunge badala ya kuwatetea anaipigia debe Serikali

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Nchi ya ajabu kupata Kutokea. Mbunge anachaguliwa na wananchi ili awawakilishe bungeni akawasemee mahitaji yao na kero zao. Mbunge kashiriki kupitisha sheria ya tozo ambayo ni kero kwa wananchi wake.

Wananchi wanalalamika Mbunge anageuka wakala wa Serikali kuwataka wananchi wake wavumilie maumivu ya tozo.

Je, mbunge huyo anawawakilisha wananchi au anaiwakilisha serikali? Wabunge hao wanapatikana Tanzania tu.
 
Huyu lazima atakuwa mbunge wa CCM maana wabunge hao siku zote wanawamilisha serikali na CCM na si wapiga kura!
 
Ndio biashara anayoifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew.
 
Kama kutakuwa na katiba mpya tume huru nabashiri uchaguz ujao utakuwa kabambe kuwahi kutokea mama akifikisha kula milion 5 kama kutakuwa na tume huru nahama nchi
 
Asilimia kubwa ya wabunge hawakuchaguliwa na wanachi. Haya yanatokea kwa mtu aliyeenda kushibisha tumbo lake na kumtumikia yule bwana aliyesepa. Sasa aliyesepa kasepa, kilichobaki ni matumbo yao.

Hakuna uwakilishi wa wananchi bungeni, lile ni genge la walamba posho za ubunge.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Walichaguliwa na wananchi gani? Ama wewe haukuwepo wakati wa uchaguzi 2020?
 
Ajabu Kwenye kikao kijacho ataanza kuipongeza serikali kwa kuondoa/kupunguza hiyo tozo na kuiita serikali sikivu wakati yeye ndiye mbunge aliyeipitisha hiyo tizo kwakile kinachoitwa kishindo.

Ukitaka kupata vichaa Tanzania usihangaike, nenda Bungeni.
 
Hawa ni wabunge viti maalumu wa Magufuli maanake yeye ndiye aliyewapeleka bungeni bila uchaguzi hivyo wao hawana cha kupoteza.

Leo hii hata hii serikali iamue kurejesha tena kodi ya kichwa na iiandalie muswada, utapita kwenye hilo wanaloita "bunge" kwa asilimia mia moja.

Sasa ndipo tunatakiwa tuone gharama ya nchi kutokuwa na uchaguzi na badala yake mtu moja mpumbavu kuteua vibaraka wake eti kuwawakilisha wananchi kwa matakwa yake ya kijinga. It's very silly.
 
c1cd67ba-a1b1-4402-a9f4-e24b3008ee37.jpg

Kilio chenu kimetufikia.
 
Huyu lazima atakuwa mbunge wa CCM maana wabunge hao siku zote wanawamilisha serikali na CCM na si wapiga kura!
Kwani mliwachagua au Serikali iliwachagua? Acheni kulalama Katiba ndio dawa ya kuondoa Wabunge wa aina hii.
 
Back
Top Bottom