Wananchi wanayohaki ya kuandamana kwa hili

Wananchi wanayohaki ya kuandamana kwa hili

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Jeshi la Polisi kwanini mmezuia? Ni haki ya wanaoandamana kama ilivyohaki ya wanaondamana kupongeza juhudi za serikali. Kwanini hawa huwa mnawaruhusu?

Kwani familia zenu zipo Uarabuni au Zimbabwe?

Mkataba ule utatuliza wote mimi na nyingi na Watanzania wote wakati Rais Samia atakuwa kastaafu na kazeeka. Hivi mpangaji anaweza kumpa masharti mpangishaji (mwenye nyumba) kiasi kile? Pengine nanyi mmeona mapungufu lakini mnaogopa kulinda tu nafasi twenu. Huo ni uoga.

Watoto wenu, wajukuu wenu na vizazi vyenu vitakuta Tanzania ya hali gani? Kwa masharti yale tuna mashaka na DP kama ni wawekezaji wenye nia nzuri, hivyo waachieni Watanzania wafikishe ujumbe kwa wahusika.

Tambueni kwamba ni sisi tuliwachagua na kuwapa mamlaka hayo. Tusipowaelewa tuna haki ya kuwapinga hadharani kwa mstakabali wa nchi yetu. Wakishupaza shingo leo, uchaguzi unakuja watatupigia magoti na kutubembeleza nasi tutawakataa kwenye sanduku la kura.

Chonde chonde Afande IGP na wasaidizi wako waacheni Watanzania wenye sauti wawa wakilishe wasio na sauti. Mkiwazuia wenye nchi yao kuitetea, Mwenyezi MUNGU atawauliza siku za mwisho wa uhai wenu.

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
1687033287107.gif
 
Jeshi la Polisi kwanini mmezuia? Ni haki ya wanaoandamana kama ilivyohaki ya wanaondamana kupongeza juhudi za serikali. Kwanini hawa huwa mnawaruhusu?
Kwani familia zenu zipo Uarabuni au Zimbabwe?

Mkataba ule utatuliza wote mimi na nyingi na Watanzania wote wakati Rais Samia atakuwa kastaafu na kazeeka. Hivi mpangaji anaweza kumpa masharti mpangishaji (mwenye nyumba) kiasi kile? Pengine nanyi mmeona mapungufu lakini mnaogopa kulinda tu nafasi twenu. Huo ni uoga.

Watoto wenu, wajukuu wenu na vizazi vyenu vitakuta Tanzania ya hali gani? Kwa masharti yale tuna mashaka na DP kama ni wawekezaji wenye nia nzuri, hivyo waachieni Watanzania wafikishe ujumbe kwa wahusika.

Tambueni kwamba ni sisi tuliwachagua na kuwapa mamlaka hayo. Tusipowaelewa tuna haki ya kuwapinga hadharani kwa mstakabali wa nchi yetu. Wakishupaza shingo leo, uchaguzi unakuja watatupigia magoti na kutubembeleza nasi tutawakataa kwenye sanduku la kura.

Chonde chonde Afande IGP na wasaidizi wako waacheni Watanzania wenye sauti wawa wakilishe wasio na sauti. Mkiwazuia wenye nchi yao kuitetea, Mwenyezi MUNGU atawauliza siku za mwisho wa uhai wenu.

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Wewe, hiyo ya bandari ni historia njema kabisa. Mama anaenda kasi ya ajabu kutuletea maendeleo.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Watu tupo huku sasa hivi👇🏾




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Yaani bandari hata Dubai akituvamia bado mkataba hauvunjwi tuendelee kushangilia! Hiyo hapana lazima tuandamane
 
Yaani bandari hata Dubai akituvamia bado mkataba hauvunjwi tuendelee kushangilia! Hiyo hapana lazima tuandamane
aya andamaneni tuone ili muwe mfano . hatuwezi ruhusu watu wachache mvuruge amani ya nchi. mtachakazwaa ohooo
 
Wewe, hiyo ya bandari ni historia njema kabisa. Mama anaenda kasi ya ajabu kutuletea maendeleo.

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Watu tupo huku sasa hivi[emoji1484]




Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Tuacheni tuandamane
 
Tuacheni tuandamane
Mwezi unatosha kuandama.

Wekeni sababu yenu ya maandamano, route yenu ya maandambo, yanaanzia wapi yanaishia wapi na nani sanaitisha hayo mssndamano.

Tukikna sababu zenu. Mnazotiwa ikiwa. Mmeptia njia zote hamkutatuliwa, badi tutawaruhusu.


Nawashauri anzeni kupitia ngazi zote kusikiluzwa na kutatuliwa matatizo yenu na serikali.

Anzeni kwa mjumbe wenu wa nyumba 50. Akishindwa, atawapeleka kwa Mwenyekiti wenu wa serikali ya mtaa.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Jeshi la Polisi kwanini mmezuia? Ni haki ya wanaoandamana kama ilivyohaki ya wanaondamana kupongeza juhudi za serikali. Kwanini hawa huwa mnawaruhusu?

Kwani familia zenu zipo Uarabuni au Zimbabwe?

Mkataba ule utatuliza wote mimi na nyingi na Watanzania wote wakati Rais Samia atakuwa kastaafu na kazeeka. Hivi mpangaji anaweza kumpa masharti mpangishaji (mwenye nyumba) kiasi kile? Pengine nanyi mmeona mapungufu lakini mnaogopa kulinda tu nafasi twenu. Huo ni uoga.

Watoto wenu, wajukuu wenu na vizazi vyenu vitakuta Tanzania ya hali gani? Kwa masharti yale tuna mashaka na DP kama ni wawekezaji wenye nia nzuri, hivyo waachieni Watanzania wafikishe ujumbe kwa wahusika.

Tambueni kwamba ni sisi tuliwachagua na kuwapa mamlaka hayo. Tusipowaelewa tuna haki ya kuwapinga hadharani kwa mstakabali wa nchi yetu. Wakishupaza shingo leo, uchaguzi unakuja watatupigia magoti na kutubembeleza nasi tutawakataa kwenye sanduku la kura.

Chonde chonde Afande IGP na wasaidizi wako waacheni Watanzania wenye sauti wawa wakilishe wasio na sauti. Mkiwazuia wenye nchi yao kuitetea, Mwenyezi MUNGU atawauliza siku za mwisho wa uhai wenu.

Mungu ibariki Tanzania [emoji1241]
View attachment 2660821
Rais Samia atakuwa amekula Rushwa siyo bure,mkataba gani huo?
 
Watanganyika hamna uthubutu wa kuingia barabarani wengi wenu ni maneno mengi nyuma ya keyboard
 
REMEMBER THAT POLITICS IT'S A DIRTY GAME USIJIHUSHE NA SIASA INGAWA KUNA PESA NYINGI KWENYE SIASA ILA SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA MARA YA MWISHO KUPIGA KURA 2015 NA SITAPIGA KURA TENA NITADILI NA MICHONGO YANGU INAYONIINGIZIA PESA IF YOU KNOW WHAT I MEAN UTAKUWA UMENIELEWA NIMESEMA

IM SIGN OFF
 
Mkataba ule utatuliza wote mimi na nyingi na Watanzania wote wakati Rais Samia atakuwa kastaafu na kazeeka. Hivi mpangaji anaweza kumpa masharti mpangishaji (mwenye nyumba) kiasi kile? Pengine nanyi mmeona mapungufu lakini mnaogopa kulinda tu nafasi twenu. Huo ni uoga.
Natamani JW liinuke hii serikali imeeshindwa kazi, bunge limenunuliwa, wananchi tumebaki hatuna mtetezi
 
REMEMBER THAT POLITICS IT'S A DIRTY GAME USIJIHUSHE NA SIASA INGAWA KUNA PESA NYINGI KWENYE SIASA ILA SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA MARA YA MWISHO KUPIGA KURA 2015 NA SITAPIGA KURA TENA NITADILI NA MICHONGO YANGU INAYONIINGIZIA PESA IF YOU KNOW WHAT I MEAN UTAKUWA UMENIELEWA NIMESEMA

IM SIGN OFF
Wewe una akili.
 
Back
Top Bottom