Pre GE2025 Wananchi wangekuwa wanamkubali kwa dhati Rais Samia kungekuwa na haja ya kuanzisha Samia Cup, Samia Legal Aid, Cheka na Samia na kadhalika?

Pre GE2025 Wananchi wangekuwa wanamkubali kwa dhati Rais Samia kungekuwa na haja ya kuanzisha Samia Cup, Samia Legal Aid, Cheka na Samia na kadhalika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Ni wazi kuwa kuna jitihada kubwa zinafanyika kumpaisha Rais Samia kila kona ya nchi kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.
  • Kwenye michezo yupo!
  • Mama Ntilie na gesi, machinga yupo!
  • Sekta za afya na sheria yupo!
  • Pesa kuendesha nchi ndio kabisa, kwa 200% yupo!
Tujiulize je, hii ni ishara ya umaarufu wake au ni dalili kuwa hana mvuto wa asili kwa wananchi, hivyo analazimika 'kujiuza' kwa nguvu?

Samia CupMpira umegeuka siasa, lakini je, wananchi wanamkubali kwa vitendo au kwa zawadi za muda mfupi?
Cheka na SamiaHadi vichekesho vina jina lake!
Mama Lishe na Samia
Generation Samia
✅ Kizimkazi Festival
✅ Michango Makanisani na Miskitini

Samia Legal AidHaki inapatikana kweli au ni jina tu linalotumika kama chambo cha kisiasa?
Mitungi ya gesi, baiskeli, pikipikiKila bidhaa inabeba jina lake! Huu ni uthibitisho wa utawala mzuri au ni mbinu za kisiasa za kueneza jina lake kwa nguvu?
Machawa wa SamiaMastaa wanamzungumzia kwa hiari au wanalipwa kumsifu mitandaoni?
Madaktari wa SamiaHata sekta ya afya imeingizwa kwenye siasa, je, hili lina manufaa yoyote kwa wagonjwa?
Pesa za miradi za Samia! - Kwani zile kodi zetu si turudishiwe tu maana mama ana hela nyingi za kulisha taifa?

Kama Samia anakubalika kwa dhati kabisa toka moyoni (kwa sauti ya Magufuli) haya yote ya nini?

Unadhani vurugu zote hizi zinamchora Samia kwenye picha gani?

Chawa hakikisha umeshiba kabla hujasogea kwenye uzi huu😂🤣🤣!

Pia, Soma:
 
Wakuu

Ni wazi kuwa kuna jitihada kubwa zinafanyika kumpaisha Rais Samia kila kona ya nchi kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.

  • Kwenye michezo yupo!
  • Mama Ntilie na gesi, machinga yupo!
  • Sekta za afya na sheria yupo!
  • Pesa kuendesha nchi ndio kabisa, kwa 200% yupo!

Tujiulize je, hii ni ishara ya umaarufu wake au ni dalili kuwa hana mvuto wa asili kwa wananchi, hivyo analazimika 'kujiuza' kwa nguvu?

Samia CupMpira umegeuka siasa, lakini je, wananchi wanamkubali kwa vitendo au kwa zawadi za muda mfupi?
Cheka na SamiaHadi vichekesho vina jina lake!
Mama Lishe na Samia
Generation Samia
Samia Legal AidHaki inapatikana kweli au ni jina tu linalotumika kama chambo cha kisiasa?
Mitungi ya gesi, baiskeli, pikipikiKila bidhaa inabeba jina lake! Huu ni uthibitisho wa utawala mzuri au ni mbinu za kisiasa za kueneza jina lake kwa nguvu?
Machawa wa SamiaMastaa wanamzungumzia kwa hiari au wanalipwa kumsifu mitandaoni?
Madaktari wa SamiaHata sekta ya afya imeingizwa kwenye siasa, je, hili lina manufaa yoyote kwa wagonjwa?
Pesa za miradi za Samia! - Kwani zile kodi zetu si turudishiwe tu maana mama ana hela nyingi za kulisha taifa?

Kama Samia anakubalika kwa dhati kabisa toka moyoni (kwa sauti ya Magufuli) haya yote ya nini?

Unadhani vurugu zote hizi zinamchora Samia kwenye picha gani?

Chawa hakikisha umeshiba kabla hujasogea kwenye uzi huu😂🤣🤣!
Hakubaliki, hapendwi,basi tu alirithi urais
 
Wakuu

Ni wazi kuwa kuna jitihada kubwa zinafanyika kumpaisha Rais Samia kila kona ya nchi kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.

  • Kwenye michezo yupo!
  • Mama Ntilie na gesi, machinga yupo!
  • Sekta za afya na sheria yupo!
  • Pesa kuendesha nchi ndio kabisa, kwa 200% yupo!

Tujiulize je, hii ni ishara ya umaarufu wake au ni dalili kuwa hana mvuto wa asili kwa wananchi, hivyo analazimika 'kujiuza' kwa nguvu?

Samia CupMpira umegeuka siasa, lakini je, wananchi wanamkubali kwa vitendo au kwa zawadi za muda mfupi?
Cheka na SamiaHadi vichekesho vina jina lake!
Mama Lishe na Samia
Generation Samia
Samia Legal AidHaki inapatikana kweli au ni jina tu linalotumika kama chambo cha kisiasa?
Mitungi ya gesi, baiskeli, pikipikiKila bidhaa inabeba jina lake! Huu ni uthibitisho wa utawala mzuri au ni mbinu za kisiasa za kueneza jina lake kwa nguvu?
Machawa wa SamiaMastaa wanamzungumzia kwa hiari au wanalipwa kumsifu mitandaoni?
Madaktari wa SamiaHata sekta ya afya imeingizwa kwenye siasa, je, hili lina manufaa yoyote kwa wagonjwa?
Pesa za miradi za Samia! - Kwani zile kodi zetu si turudishiwe tu maana mama ana hela nyingi za kulisha taifa?

Kama Samia anakubalika kwa dhati kabisa toka moyoni (kwa sauti ya Magufuli) haya yote ya nini?

Unadhani vurugu zote hizi zinamchora Samia kwenye picha gani?

Chawa hakikisha umeshiba kabla hujasogea kwenye uzi huu😂🤣🤣!
Ni miradi ya majitu fulani yemjificha kwenye chama
 
Sijui kuna nini nyuma ya kampeni hii kali ya Samia..yaani inaonekana lazima abaki Ikulu kwa gharama yoyote..Lissu na CDM kwa ujumla,:muwe makini sana, sio kwa shauku hii
 
Kuna KO(Knock Out) ya mama nani kaiona? Ila vile vibondia vimechoka jamani. Sijui wamevitoa uswazi
 
Mwingine kaja na "Mama Hatudai"
Tunasahau kwamba tulikwishaambiwa kuwa Mama kamaliza kila kitu isipokuwa anatudai kura zetu mwezi Oktoba!!
 
Bila kumpaisha ni ngumu Sana Kwa mama kuaminika..
Mwaka huu hayo matangazo ya kumnadi mama yatakuwa mara 10 yake
 
Tatizo chawa wengi, wanataka kuonesha kwamba anakubalika sana
 
Back
Top Bottom