Wananchi waokolewe toka kwa wakoloni weusi

Wananchi waokolewe toka kwa wakoloni weusi

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Wakoloni weupe hawakutenda weusi wanatenda.

FB_IMG_1681189841254.jpg

 
Hapo walipolala kuna maji na tope hivyo ilibidi daraja la dharula litengenezwe ili bosi avuke, daraja hilo lilibuniwa na injinia huyo mama anayempa maelekezo jinsi ya kukanyaga kulingana na ukubwa au udogo wa hizo chanja.
 
Wote hapo wamedhihirisha Madhara ya kukosa lishe bora wakati wa ukuwaji.
 
Kiongozi wa upinzani angefanya hili wanaccm nchi nzima wangeandamana na muhusika angekamatwa.
FB_IMG_1681189841254.jpg
 
Back
Top Bottom