Wananchi watakula hayo maridhiano?

Wananchi watakula hayo maridhiano?

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Kiongozi wa nchi anapohangaika kufurahisha magenge na wanasiasa kwa lengo la kujinasibu kisiasa na kusahau majukumu na kazi ya kiongozi wa nchi ni yapi, si dalili njema kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi kwa taifa lolote.

Unapohangaika kufurahisha vikundi vya watu ni wazi kwamba kamwe hautafanikiwa kukamilisha kufurahisha kila mmoja kwa 100% na ukizidi kulazimisha kukubalika miongoni mwa watu unakuwa mtumwa wa kuhangaikia kuwafurahisha watu badala ya kutekeleza majukumu ya msingi ambayo yatakuwa kielelezo cha ufanisi wako katika kazi na kuacha watu wapongeze wenyewe.

Maendeleo ya nchi hayaji kwa porojo za jukwaani na kufurahisha makundi ya watu bali kwa jasho na damu, kwa kuchapa kazi, kuweka sera bora za maendeleo na kuzisimamia kwa ukamilifu n.k angalia mfano wa China, hawakupata maendeleo waliyonayo kwa porojo za jukwaani.

Kiongozi wa nchi anayetumia muda wake mwingi kufurahisha watu kwa malengo ya kunufaika kisiasa na kusahau wananchi ambao mpaka sasa wanahangaika na mgao wa umeme,maji n.k HAFAI HATA KIDOGO!

Leo hii Tanzania hakuna mipango wala mikakati mikubwa ya maendeleo.Miradi mikubwa kama SGR, JNHP na mashirika makubwa kama ATCL yanaelekea kufa kutokana na usimamizi mbovu na viongozi kugeuka wanasiasa wa kufurahisha magenge na kuzungumzia petty issues ambazo sio kipaumbele kwa nchi masikini kama Tanzania.Hakuna mikakati na focus ya jumla kama taifa, huku viongozi wakichoma mamilioni kwenda kuhudhuria mkutano kujadili athari ya gesi ya ukaa!

INASIKITISHA SANA
 
CHADEMA mmeweka Imani Kwa Samia,

Mmewahi jiuliza what will happen if CCM changes its candidate?

Mnaamini wataheshimu terms za maridhiano?

Wasiwasi ndio AKILI.
 
CDM mmeweka Imani Kwa sa100,

Mmewahi jiuliza what will happen if CCM changes it's candidate?

Mnaamini wataheshimu terms za maridhiano?

Wasiwasi ndo AKILI.
Ndiyo maana katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni muhimu sana....!
 
Halafu kula nyumbani hapa stori!

Hujakumbupshia Katiba!
 
Ndiyo maana katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni muhimu sana....!
Wakibadili mgombea na kulazimisha tuingie uchaguzi 2025 Kwa Katiba hii na kupuuza terms za maridhiano ambazo ni Siri,

CDM watafanya nn Kwa jinsi walivyompigia makofi sa100?
 
Kiongozi wa nchi anapohangaika kufurahisha magenge na wanasiasa kwa lengo la kujinasibu kisiasa na kusahau majukumu na kazi ya kiongozi wa nchi ni yapi, si dalili njema kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi kwa taifa lolote...
Sio kusikitika jinyongeze kabisa au rudi kwenu Burundi mlipozoea kukimbizana.
 
Kuna watu vichwani ni empty kabisa, bila kujenga amani kwa njia ya kukaa mezani, nchi itaendaje, au mlifurahia habari za matajiri kufa ovyo na watu kutekana na kutoweka?
Mkuu dalili ya masikini ni roho mbaya yeye anawaza ugali muda wote hata kama wenzake wanaokotwa kwenye viroba nguruwe huyu!!
 
Wakibadili mgombea na kulazimisha tuingie uchaguzi 2025 Kwa Katiba hii na kupuuza terms za maridhiano ambazo ni Siri,

CDM watafanya nn Kwa jinsi walivyompigia makofi sa100?
Kama ulifuatilia rais aliahidi kuwa karibuni Ile kamati itaanza kazi kuhusu jinsi ya kuendeleza mchakato wa Katiba mpya ikihusisha pia vyama vyote.

Hatuna sababu ya kutilia shaka kauli ya rais ambayo aliitoa hadharani.
 
Kiongozi wa nchi anapohangaika kufurahisha magenge na wanasiasa kwa lengo la kujinasibu kisiasa na kusahau majukumu na kazi ya kiongozi wa nchi ni yapi, si dalili njema kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi kwa taifa lolote.

Unapohangaika kufurahisha vikundi vya watu ni wazi kwamba kamwe hautafanikiwa kukamilisha kufurahisha kila mmoja kwa 100% na ukizidi kulazimisha kukubalika miongoni mwa watu unakuwa mtumwa wa kuhangaikia kuwafurahisha watu badala ya kutekeleza majukumu ya msingi ambayo yatakuwa kielelezo cha ufanisi wako katika kazi na kuacha watu wapongeze wenyewe.

Maendeleo ya nchi hayaji kwa porojo za jukwaani na kufurahisha makundi ya watu bali kwa jasho na damu, kwa kuchapa kazi, kuweka sera bora za maendeleo na kuzisimamia kwa ukamilifu n.k angalia mfano wa China, hawakupata maendeleo waliyonayo kwa porojo za jukwaani.

Kiongozi wa nchi anayetumia muda wake mwingi kufurahisha watu kwa malengo ya kunufaika kisiasa na kusahau wananchi ambao mpaka sasa wanahangaika na mgao wa umeme,maji n.k HAFAI HATA KIDOGO!

Leo hii Tanzania hakuna mipango wala mikakati mikubwa ya maendeleo.Miradi mikubwa kama SGR, JNHP na mashirika makubwa kama ATCL yanaelekea kufa kutokana na usimamizi mbovu na viongozi kugeuka wanasiasa wa kufurahisha magenge na kuzungumzia petty issues ambazo sio kipaumbele kwa nchi masikini kama Tanzania.Hakuna mikakati na focus ya jumla kama taifa, huku viongozi wakichoma mamilioni kwenda kuhudhuria mkutano kujadili athari ya gesi ya ukaa!

INASIKITISHA SANA
ulitaka walishwe na nan?
 
Wakibadili mgombea na kulazimisha tuingie uchaguzi 2025 Kwa Katiba hii na kupuuza terms za maridhiano ambazo ni Siri,

CDM watafanya nn Kwa jinsi walivyompigia makofi sa100?
hujui siasa wewe kaa kimya kumbe wengine humu ni wajinga ndio maana tunawajibu kulingana na ujinga wenu.
 
Kiongozi wa nchi anapohangaika kufurahisha magenge na wanasiasa kwa lengo la kujinasibu kisiasa na kusahau majukumu na kazi ya kiongozi wa nchi ni yapi, si dalili njema kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi kwa taifa lolote.

Unapohangaika kufurahisha vikundi vya watu ni wazi kwamba kamwe hautafanikiwa kukamilisha kufurahisha kila mmoja kwa 100% na ukizidi kulazimisha kukubalika miongoni mwa watu unakuwa mtumwa wa kuhangaikia kuwafurahisha watu badala ya kutekeleza majukumu ya msingi ambayo yatakuwa kielelezo cha ufanisi wako katika kazi na kuacha watu wapongeze wenyewe.

Maendeleo ya nchi hayaji kwa porojo za jukwaani na kufurahisha makundi ya watu bali kwa jasho na damu, kwa kuchapa kazi, kuweka sera bora za maendeleo na kuzisimamia kwa ukamilifu n.k angalia mfano wa China, hawakupata maendeleo waliyonayo kwa porojo za jukwaani.

Kiongozi wa nchi anayetumia muda wake mwingi kufurahisha watu kwa malengo ya kunufaika kisiasa na kusahau wananchi ambao mpaka sasa wanahangaika na mgao wa umeme,maji n.k HAFAI HATA KIDOGO!

Leo hii Tanzania hakuna mipango wala mikakati mikubwa ya maendeleo.Miradi mikubwa kama SGR, JNHP na mashirika makubwa kama ATCL yanaelekea kufa kutokana na usimamizi mbovu na viongozi kugeuka wanasiasa wa kufurahisha magenge na kuzungumzia petty issues ambazo sio kipaumbele kwa nchi masikini kama Tanzania.Hakuna mikakati na focus ya jumla kama taifa, huku viongozi wakichoma mamilioni kwenda kuhudhuria mkutano kujadili athari ya gesi ya ukaa!

INASIKITISHA SANA
Fanya kazi ujipatie ridhiki usitarajie serikali kukuletea pes mfukoni.
 
hujui siasa wewe kaa kimya kumbe wengine humu ni wajinga ndio maana tunawajibu kulingana na ujinga wenu.
Ujinga Si TUSI,

Wewe ujuaye siasa nijibu yafuatayo!!

1. Kwa muda mchache uliopo Hadi hivi sasa kuelekea 2024 ambapo utafanyika uchaguzi wa Serikali za mitaa, maridhiano yatasaidia kuahirisha uchaguzi huo kupisha ukamilishwaji wa mchakato ambao Hadi sasa tume haijateuliwa?

2. Maridhiano yatawalainisha CCM kukubali uchaguzi MKUU 2025usogezwe mbele kupisha mchakato ukamilike Ili tume huru Ipatikane?

3. Ikiwa Tume na marekebisho ya Katiba hayatagusa mhimili mkuu wa Serikali kutohojiwa mahakamani, hatua CDM watakazochukua zitaeleweka kirahisi na wananchi Kwa picha ya kuaminiana CCM waliyofanikiwa kuijenga Kwa CDM?
 
Kiongozi wa nchi anapohangaika kufurahisha magenge na wanasiasa kwa lengo la kujinasibu kisiasa na kusahau majukumu na kazi ya kiongozi wa nchi ni yapi, si dalili njema kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi kwa taifa lolote.

Unapohangaika kufurahisha vikundi vya watu ni wazi kwamba kamwe hautafanikiwa kukamilisha kufurahisha kila mmoja kwa 100% na ukizidi kulazimisha kukubalika miongoni mwa watu unakuwa mtumwa wa kuhangaikia kuwafurahisha watu badala ya kutekeleza majukumu ya msingi ambayo yatakuwa kielelezo cha ufanisi wako katika kazi na kuacha watu wapongeze wenyewe.

Maendeleo ya nchi hayaji kwa porojo za jukwaani na kufurahisha makundi ya watu bali kwa jasho na damu, kwa kuchapa kazi, kuweka sera bora za maendeleo na kuzisimamia kwa ukamilifu n.k angalia mfano wa China, hawakupata maendeleo waliyonayo kwa porojo za jukwaani.

Kiongozi wa nchi anayetumia muda wake mwingi kufurahisha watu kwa malengo ya kunufaika kisiasa na kusahau wananchi ambao mpaka sasa wanahangaika na mgao wa umeme,maji n.k HAFAI HATA KIDOGO!

Leo hii Tanzania hakuna mipango wala mikakati mikubwa ya maendeleo.Miradi mikubwa kama SGR, JNHP na mashirika makubwa kama ATCL yanaelekea kufa kutokana na usimamizi mbovu na viongozi kugeuka wanasiasa wa kufurahisha magenge na kuzungumzia petty issues ambazo sio kipaumbele kwa nchi masikini kama Tanzania.Hakuna mikakati na focus ya jumla kama taifa, huku viongozi wakichoma mamilioni kwenda kuhudhuria mkutano kujadili athari ya gesi ya ukaa!

INASIKITISHA SANA
Hii ni mada bora kabisa kwangu tangu mwaka huu uanze hongera sana mkuu
 
Back
Top Bottom