Wananchi wawapa viongozi maji machafu mkutanoni

Wananchi wawapa viongozi maji machafu mkutanoni

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Wananchi wawapa viongozi maji machafu mkutanoni
Wananchi wa Kijiji cha Marsabit wamewapa maji machafu viongozi wa Serikali waliokuwa mkutanoni wakishinikiza kuacha kujadili masuala yasiyokuwa ya msingi na badala yake wazungumzie upatikanaji wa maji safi.

IMG_20190215_112859.jpg
 
Back
Top Bottom