Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora, lakini si kusumbua wananchi.Na wanasema hata ukipewa vitambulisho kina life span ya maiaka 10 tu kwahiyo zoezi la mahojiano ni zoezi endelevu
Mwanasiasa asikurubuni ukalala mlango wazi...wanavyo toka 2015.Wasisahau kurudisha fomu ya Zito
Hata huko Dar Uhamiaji hawako makini Warundi ni wengi sana! Mfano kuna Jamaa ambaye ni Murundi na anafahamika ni artist kwa uchoraji anapatikana pale Mwenge .Ni Murundi na bado ndiye kapewa ushindi mchoraji bora kitaifa! japo Mama yake ndo Mzaliwa wa Kasulu. huyo Jamaa alikuja kutoka huko kwao Burundi 2016 kisha kuondoka kwenda Dar! Na wengine wengi wanafahamika sana, kama Uhamiaji wangekuwa makini wangetoa chochote kwa Mabaharia wawaelekeze wageni ni akina nani. Wahamiaji haramu wangepungua. Kuliko kuwataabisha Watanzania na kuwacheleweshea haki zao za msingi!
Comment zako huwa zinanifurahisha sana mkuu[emoji871]
Kwenye Serikali Yangu Maneno Matamu Sitayasema Mimi Nitasema Makavu Makavu Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania [emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16]
Unacho kisema Nikweli Mkuu! Mifano iko mingi Unapo toka Kigoma kwenda Mikoa mingine ukifika Wilaya ya Uvinza Basi linapigwa stop Uhamiaji wanaomba vitambulisho utadhani wilaya mlizo toka zipo Nje ya Tanzania! Lakini Wanao toka Mikoani kuingia Kigoma hawaombwi vitambulisho!Kwenye uchaguzi hawakagui RAIA au muahamiaji haramu Ila kwenye huu upumbavu wa NIDa ndiyo utasikia mambo ya kijinga ya hivyo...kama MTU ni mkimbizi kwa nini usimrudishe kwao kuliko usumbufu wa kipambavu,ifikie wakati watu wa mkoa wa kigoma kudai haki\uhuru maana wanaonea sana......kuna watu kibao wageni wanapata passpoti,Kitambulisho cha NIDa,cha mpiga kura kiulani kuliko hata RAIA huu kama siyo ujinga ni nini?
Kuna watu mababu zao walikuwa wanachama wa TANU wa mwanzo kabisa wamempokea nyerere kwenye harakati za kudai Uhuru mkoani kigoma hadi leo familia zao wanavithibitisho....lakini unakuta afisa wa uhamiaji ambaye babu YAKE hakuchangia chochote kwenye harakati za kujikomboa toka kwa mkoloni alikuwa maporini anachunga ng'ombe eti anakuhoji uraia anakwambia ni mkimbizi ...kweli hii nchi ni ya hovyo sana.
Wazee wetu walikuwa na passpoti za kwanza kabisa za Tanganyika lakini bado utaambiwa ni mkimbizi kwa kuwa unatoka kigoma...kama vipi acheni tuwe koloni la mmarekani.
We Bhana sijui utakuwa una akili ya namna gani! Una maananisha wanaoishi kigoma wote ni Waha?!Ila tatizo lenu nyie waha ni wabishi sana badala ya kutoa ushirikiano kwa maafisa wa uhamiaji nyie mnabishana nao mwisho wa siku fomu zenu zinapigwa alama maalum
ubugenge mbwawe burakomeye wa mugabo ?We Bhana sijui utakuwa una akili ya namna gani! Una maananisha wanaoishi kigoma wote ni Waha?!
Wewe ndo wale akina" Mama Ghaati tang'a hano uchi wa moto na kibhoro kya walee!ubugenge mbwawe burakomeye wa mugabo ?
Utawala unawaonea sana watu wa kigoma.Suruhisho ni mkoa wote wa Kigoma kujiondoa kwenye JMT na kuunda utawala wa Buha kama iliyokuwa zamani, Hakuna namna mtu anaweza kulazimisha kuwa waha ni warundi au wanyarwanda!... Hizo ni koo tatu tofauti kabisa.
Hata Mimi nimeshakutana na huo ujinga....afisa uhamiaji anaanza kusalimia abiria usipoitikia salami unashushwa unaombwa vitambulisho,Mara uoneshe ndui vitu vya kipumbavu kama watu wa kigoma hawana haki na hii nchi.Unacho kisema Nikweli Mkuu! Mifano iko mingi Unapo toka Kigoma kwenda Mikoa mingine ukifika Wilaya ya Uvinza Basi linapigwa stop Uhamiaji wanaomba vitambulisho utadhani wilaya mlizo toka zipo Nje ya Tanzania! Lakini Wanao toka Mikoani kuingia Kigoma hawaombwi vitambulisho!
Pole sana Mkuu! Hawa Jamaa wana komaa na kigoma tu utadhani ndo Mkoa pekee ulio pakana na Mataifa ya Kigeni!Hata Mimi nimeshakutana na huo ujinga....afisa uhamiaji anaanza kusalimia abiria usipoitikia salami unashushwa unaombwa vitambulisho,Mara uoneshe ndui vitu vya kipumbavu kama watu wa kigoma hawana haki na hii nchi.
Ahsante!tushazoea usumbufu.Pole sana Mkuu! Hawa Jamaa wana komaa na kigoma tu utadhani ndo Mkoa pekee ulio pakana na Mataifa ya Kigeni!