CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Mkurugenzi wa mafunzo na udhibiti CUF Taifa Mhe. Masoud Omar Mhina kutoka kushoto ndiye aliyepokea Kadi hizo na Kuwakabidhi kadi za Chama Cha Wananchi CUF.
Aidha wananchi hao wamesema kuwa mkoani Lindi wana imani na Chama Cha CUF kwani wanaamini ndiyo mtetezi wao sahihi na sio vyama vingine.
#2020KILWATENA.