Wananchiiii!

Wananchiiii!

Medecin

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
8,221
Reaction score
22,496
IMG-20221204-WA0105.jpg
Mama yetu ni msikivu, ikimpendeza afanye jambo kwa huyu kijana, awekwe kwenye kumbukumbu za kitaifa.
 
Sema aliyehusika kwenye editing big up sanaaa
 
Acha uoga wewe, hiyo ni softcopy tu, haya kiteje hiko kifungu cha sheria.

I am just saying bro sio uoga...uhuru una limits, usizidi kipimo...

Kuna nembo ya taifa hapo, sahihi ya gavana BOT, waziri na maneno ya kuhalalisha 'fedha' hiyo...
 
Ha ha ha.....
Hili taifa Lina vijana wa hovyo Sana[emoji4]
 
Imeeditiwa vizuri sana,lakini wazee wa ngwasuma wakikudaka una mvua zako za kutosha.
 
Yaani badala ya kusifia artwork...
Mnaanza kujiharishia....
Hivi kweli tutawatoa hawa CCM nje,,,,
 
Back
Top Bottom