Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta kipochi kinanuka ukiuliza ugomvi. Unaishia kula hivyo hivyo ili mradi usiibue varangati!Watasema kazi nyingi
Huyo sasa hajipendi, hata kusafisha tumbua yakeUnakuta kipochi kinanuka ukiuliza ugonvi
Wakiachika wanalalamika,Hivi hawajui tunapishana na pisi kali Njiani.Hii hali hotokea wengi hasa wakishazaa wanajikataa yani hawajipendi tena.
Pia kuna wanawake wengine hawajipendi na ni wachafu wapowapo tu.
Hii pia moja ya sababu ya wanaume kuchepuka.
Hii hali hotokea wengi hasa wakishazaa wanajikataa yani hawajipendi tena.
Pia kuna wanawake wengine hawajipendi na ni wachafu wapowapo tu.
Hii pia moja ya sababu ya wanaume kuchepuka.
Maslay qeen wengi wa mjini hawavai chupi, ipo pisi moja kila nilikutana nayo hana chupi anasema yy anavaaga chupi akiwa period
inamankusweke Jana niliona mchango wako kwenye masuala ya dini ya kiislam nikajisemea, jamaa huyu Kama sio sheikh Basi atakua ustaadh au Imam wa mskiti Fulani.Mazvuzzi hawanyoi,hawaoshi k..wanatuchukulia poa
Mwanamke akinukia maziwa anatia hamasa sana, hata k inavutia ikiwa na kale kaharufu kake original kwa mbali.Izo ni kampeni tu apate bwana ila wakiolewa wakizaa utapenda wananuka maziwa kama masai magauni yananuka moshi kama wachoma mkaa