Wanandoa kuishi mbalimbali

kazi gani kwako zinafaa ambazo ungetaka mumeo afanye???? maana hapa naona swal si mumeo kja huko bali ni aina ya kazi anayofanya!!!!!!
 
kazi gani kwako zinafaa ambazo ungetaka mumeo afanye???? maana hapa naona swal si mumeo kja huko bali ni aina ya kazi anayofanya!!!!!!
kazi aliyosomea yeye,siyo aje aanze kuwa mlinzi wa H&M,
 
Noted,thanks
 
Ahsante for the words
 

Hilo ndo la muhimu. Lakini yeye atakuja kufanya nini? Maana kusema ukweli kama na yeye ni professional, hangependelea kuona anaishia uchochoroni tu. So for the one you love, convince him na lazima kuwe na pla in place ya yeye atakuja kufanya nini. Asije kuishia kuwa yaya wa kulea watoto. Wanaume wengine hawapendi kuitwa maliyoo
 

Rudi nyumbani ujenge taifa lako pia ujenge familia yako na mwenzako!
 
Pangeni maisha yenu, fanya kazi kwa mwaka au miaka miwili upate experience alafu urudi Africa. As you wait anaweza kuja na watoto kukaa na wewe (bila kufanya hizo kazi unazo ziona hazimfai ) au anaweza kuanza kuandaa maisha yenu huko Africa.
 
Pangeni maisha yenu, fanya kazi kwa mwaka au miaka miwili upate experience alafu urudi Africa. As you wait anaweza kuja na watoto kukaa na wewe (bila kufanya hizo kazi unazo ziona hazimfai ) au anaweza kuanza kuandaa maisha yenu huko Africa.
Noted,watoto ninao huku,any way sina jinsi ngoja nipack nirudi home.Hapo ndo naamini mwanamke ndo anatakiwa amfuate mme.
 
Yaani kwa kweli sijui nifanye nini,kasema mke ndo anatakiwa amjoin mme,I have my permit ya kuishi na family,a house.BUT I HAVE TO LEAVE AND GO BACK TO TANZANIA TO STAY WITH MY HUSBAND,Maisha haya jamani

Huu ndio uamuzi bora kabisa rudi bungo uishi na watoto wako na mumeo, kwa elimu yako huwezi kukosa kazi nzuri bongo kuliko mumeo mkamtafutie kazi ya kufyeka bustani ulaya.
 
Kuna kaukweli ninarafiki yangu mme wake ni PhD holder huko kwao alikuwa lecturer,sasa kamjoin mkewe imekuwa ngumu kupata kazi ya profession yake,Rafiki yangu tunafanya wote yaani inabidi ampe mmewe mshahara wote,ili mumewe asijifeel vibaya na kukumbuka alivyokuwa Boss kwao,but with all huyu baba kapungua sana i think he is not happy.Sitaki yampate mme wangu
 
hapo una kazi ya ziada,
ina maana huyo jamaa hajapata demu kweli,
je utapona marazi kama hakujiheshimu.
but amua mwenyewe, wewe si ndo mwenye ndoa yako.
 
Akupe CV zake na umtafutie ajira labda atakubali kuja..anaogopa kuwa golikipa
 
Kwani ulivokuwa unaondoka mlikubaliana nini??? Kwenda kusoma na kurudi au kulowea hukohuko?? Kama mumeo alikuruhusu uende masomoni na kisha urudi...huoni kama utakuwa unamkosea kumlazimisha afungashe virago kukufuata huko?? Na basi kuwapi KUMTII MUME WAKO???? Au ndo kusoma tayari kwisha kupa kiburi na ili akija huko ughaibuni ndo umgeuze Hausi boi??? Heshimu ndoa yako na UMTII MUMEO ili akupende zaidi!!! Na huko ulaya kwani ndo mbinguni?? Mbona maisha ya huku ni bomba kuliko huko?? Ma stress kibao!!! Ningekuwa mumeo ningekuruhusu uendelee kukaaa huko huko...Uje tu likizo unapojisikia mwenyewe!! Ulaya siendei ng'o!! Heri nile mchicha wa hapahapa msimbazi......
 
usiogopee kazi na maisha siyo ulaya tu, kwanza ulienda kusoma hiyo opportunity ilipresent tu baadaye.
elimu yako unayo na nafikiri u can do better with it hata tz ,go back to ur country and join ur family ,kwanza watakuwa wamekumiss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…