Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ri hata .shape ,sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani.ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Mkipendana automatically hata mwili unakuwa na amani... hata pH ya K inakuwa sawa mda wote so mimba ni rahisi kushikika.
Sasa muda wote una mawazo mimba itashika saa ngapii
Naogopa kuzaa hatari duuh
NimeshtukaaaaHahahahahaha eti nikamzoom nikaona tayar ana nyingine[emoji30][emoji30]
Wanapendana hatare hatare yaaniAcha kufatilia maisha ya watu eti wanapendana mpaka wanapendana TENA [emoji3][emoji3][emoji1787].
Tumeletwa duniani tuje kuijaza dunia.
Watu Wana mbegu aiseeeeAcha umbea...[emoji23][emoji23]
Kama wana mudu matunzo wazae wazae tenaKuna rafiki yangu mmoja yaani anapendana mnooo na mume wake yaani nadhani ile ndo ndoa pekee hapa nchini.
Mume sio Tajiri wala Hana kazi nzuri kiivo maisha Yao ya kawaida nyumba moja, Gari moja na mke sio mzuri hata shape sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Changamoto Sasa looh wanazaa Hao. Napenda sana watoto ila maisha haya jamani Kuna mtu anazaa watoto sita??.
Kila siku Wana mimba yaani .Leo.nimemzoom Ana mimba tena nikashtuka .Kuna watu hawaogopiiii
Wee sii ndio ulikuwa unalalamika kiwa hamuolewi...sasa wee bania mbususu wenzio wanatoa daily ndio maana wapo kwa ndoaKuna rafiki yangu mmoja yaani anapendana mnooo na mume wake yaani nadhani ile ndo ndoa pekee hapa nchini.
Mume sio Tajiri wala Hana kazi nzuri kiivo maisha Yao ya kawaida nyumba moja, Gari moja na mke sio mzuri hata shape sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Changamoto Sasa looh wanazaa Hao. Napenda sana watoto ila maisha haya jamani Kuna mtu anazaa watoto sita??.
Kila siku Wana mimba yaani .Leo.nimemzoom Ana mimba tena nikashtuka .Kuna watu hawaogopiiii
Acha wazae elimu ni bure, wanatuongezea rasilimali watuWatu Wana mbegu aiseeee
Njoo nikupeWee sii ndio ulikuwa unalalamika kiwa hamuolewi...sasa wee bania mbususu wenzio wanatoa daily ndio maana wapo kwa ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rafiki yako akikutana na hii posti atajigundua ni yeye na atakugundua ila atakumindKuna rafiki yangu mmoja yaani anapendana mnooo na mume wake yaani nadhani ile ndo ndoa pekee hapa nchini.
Mume sio Tajiri wala Hana kazi nzuri kiivo maisha Yao ya kawaida nyumba moja, Gari moja na mke sio mzuri hata shape sura kawaida saana yaani kama una mrate kwenye A to F ni D Au E yaani ila wanapendanaaa hadi wanapendana tena.
Changamoto Sasa looh wanazaa Hao. Napenda sana watoto ila maisha haya jamani Kuna mtu anazaa watoto sita??.
Kila siku Wana mimba yaani .Leo.nimemzoom Ana mimba tena nikashtuka .Kuna watu hawaogopiiii