Wanandoa mnijibu

Wanandoa mnijibu

nini nafasi ya zile solemn vows mlizokubaliana na kuji-commit wakati mnafunga ndoa au huwa ni mashairi tu yasiyokuwa na maana?
 
aisee PetCash hizi moments zipo ila ukitaka kuona upendo unarudi tena fanya haya
1) give her a space, waweza kuchukua likizo ukasafiri hata kwenda kijijini kwa wazazi ama yeye akachukua likizo ama pia ukatafuta safari ya kikazi just to give her a space. hii itakufanya ummiss na mara nyingi sana ingependeza kama mke akisafiri wewe ubaki home alone pakuboe ndipo utakapo feel why she should be there.

2) pendelea kumpa mwenzi wako nafasi ya kutoka na marafiki ambao si wewe ili muda ule anapotoka wewe umkose kidogo tena akuachie vijikazi kama mtoto hivi anyehitaj attention

3) toka na mkeo nyie wawili tu nendeni mahali hata kama hamna hela ya kuspend kwa makubwa but mkae nje ya nyumba kwa masaa kadhaa ili pia muwez kuona wenzenu wakoje

4) anza utaratibu wa kuflirt na mkeo hasa mchana ili ummiss na utamani kumwona

5) mweleze mwenzi wako yale unayoyapenda sana like kama hair style waweza mbadilisha at least once in a week ili awe mpya.

6) usipende kuwa na jicho la lensi bali uwe na jicho lenye kuona mazuri tu hasa wakati kama huu ili usimchukie zaid. jicho lenye kuona mazuri liko established katika kuappreciate kila anachokifanya hasa menu na usafi wa house na anapopendeza.
7) kama vp jion umerud baada ya kuwasimamia kids h/w wachukue to a next grocery or ice cream parlor ili uwaentertain na kuwa karibu na familia through kids. mara nyingi sana akina mama huwa tunapenda baba alkitoka na watoto kwenda nao huko hata kama watamletea zawadi ya pringles lakn kwa mama imerudisha upendo sana na pia itamfanya anapobaki home aandae menu safi sana ambayo mtafurahia. this real works a lot.

anyway hii ni kwa staila yangu so wengine wanaweza kuongezea na si kanuni tafadhali.

Nimeipenda mamito pokea like zangu zisizohesabika
 
Last edited by a moderator:
aisee PetCash hizi moments zipo ila ukitaka kuona upendo unarudi tena fanya haya
1) give her a space, waweza kuchukua likizo ukasafiri hata kwenda kijijini kwa wazazi ama yeye akachukua likizo ama pia ukatafuta safari ya kikazi just to give her a space. hii itakufanya ummiss na mara nyingi sana ingependeza kama mke akisafiri wewe ubaki home alone pakuboe ndipo utakapo feel why she should be there.

2) pendelea kumpa mwenzi wako nafasi ya kutoka na marafiki ambao si wewe ili muda ule anapotoka wewe umkose kidogo tena akuachie vijikazi kama mtoto hivi anyehitaj attention

3) toka na mkeo nyie wawili tu nendeni mahali hata kama hamna hela ya kuspend kwa makubwa but mkae nje ya nyumba kwa masaa kadhaa ili pia muwez kuona wenzenu wakoje

4) anza utaratibu wa kuflirt na mkeo hasa mchana ili ummiss na utamani kumwona

5) mweleze mwenzi wako yale unayoyapenda sana like kama hair style waweza mbadilisha at least once in a week ili awe mpya.

6) usipende kuwa na jicho la lensi bali uwe na jicho lenye kuona mazuri tu hasa wakati kama huu ili usimchukie zaid. jicho lenye kuona mazuri liko established katika kuappreciate kila anachokifanya hasa menu na usafi wa house na anapopendeza.
7) kama vp jion umerud baada ya kuwasimamia kids h/w wachukue to a next grocery or ice cream parlor ili uwaentertain na kuwa karibu na familia through kids. mara nyingi sana akina mama huwa tunapenda baba alkitoka na watoto kwenda nao huko hata kama watamletea zawadi ya pringles lakn kwa mama imerudisha upendo sana na pia itamfanya anapobaki home aandae menu safi sana ambayo mtafurahia. this real works a lot.

anyway hii ni kwa staila yangu so wengine wanaweza kuongezea na si kanuni tafadhali.

Hapo umemaliza hata cha kuongezea sina!! Well done, kwa mnaochokana kwenye mahusiano au ndoa zenu huu ni ushauri mzuri sana!!
 
nini nafasi ya zile solemn vows mlizokubaliana na kuji-commit wakati mnafunga ndoa au huwa ni mashairi tu yasiyokuwa na maana?

Hapa hatuangalii maamuzi na hujaamua kumsaliti au kumtaliki mwenzio, nazungumzia hisia zaidi.
Kwamba what do you do ukijikuta huna hisia chanya zozote dhidi ya mwenzio?
Au how do you rekindle the fire that led you to take those vows?
Tusaidiane kwa sababu wengi hufika hapa ILa wengi hawajitambui mpaka mambo yawe mabaya kabisa ama wanaojitambua wanaficha.
 
Riwa umeongea vizuri lakini ingekuwa rahisi hivyo ndoa nyingi unazoziona leo zisingekuwepo wakati mwingine yanapotokea haya unakuta ni upande mmoja una tatizo upande wa pili unaona una kila haki ya kugombania anachokiamini ...lakini amini usiamini mengine huwa ni mapito ikija ile baby come back ya MJ1 basi penzi lake huwa tamu kama ndio mnaanza mapenzi.We have to give everything time and space kupata majibu yaliyo sahihi haitojalisha muda gani wengine it might take mwaka,miaka 2 miezi inategemea.

The truth is...for some people, many people....mapenzi huisha! Si kwa sababu hakupenda kwa dhati, si kwa wanaume, wala si kwa wanawake...huisha tu, iwe kuna sababu au hakuna sababu! Thats the ugly truth.

Na yanapokwisha, wengi wetu (hasa kwa desturi za kiAfrica, or rather...kiTanzania) kila mtu atakushauri uvumilie, wakati wenzetu wa magharibi wanakubaliana na ukweli huo na kuachana kwa amani tu. Sisi kujifanya kuvumilia ndio inapelekea visa, manyanyaso, vipigo, na kusalitiana (ku'cheat')! Na ndio maana rate ya gender/home based violences ni kubwa kwa sehemu/nchi zenye desturi hii ya kila mtu kukuambia 'vumilia'...badala ya kukuambia ukweli...'anza kivyako' and love again!

Hayo yote uliyoweka hapo juu ndio desturi yenyewe ya kuvumilia...ni kama unajaribu kuziba mto kwa ukuta, matokeo yake maji yanajaa zaidi na kuwa na nguvu zaidi...na outcome yake inakuwa mbaya zaidi kwani yakivunja huo ukuta yatatoka kwa kasi kubwa zaidi...huko kwenye kuvumilia ndio unakuta watu wanatendana to the extreme...mpaka unasikia mume kaua mke kwa mapanga, sijui mke kafanya nini...why wait to that point? Upendo wako kwa mtu fulani (hata kama ni mume/mke) ukiisha...haina maana hautaweza love again! Take your chance..move on..let yourself free to love again. Thats make life interesting and worth living..badala ya kuishi kwa taabu kisa unavumilia!
 
Nipo kwenye ndoa ila nitakuja kukujibu baadae ....

Jibu tu Madam FirstLady au ya kwako imekaa kisiasa zaidi- Kwamba wewe na mheshimiwa mnajifanya hadharani mko so dipu in lavu halafu mkifika ndani kila mtu na lake?
 
Maisha yetu ya sasa ni matokeo ya maisha tuliyoishi siku zanyuma.Kama kabla ya ndoa ulikuwa na mtandao mkubwa wa kimapenzi,ukiingia kwenye ndoa utakuwa na wakati mgumu sana kuwa na mpenzi mmoja.Hilo likitokea utatafuta sababu za kusema nimemchoka.Naturally wanadamu tunapenda vitu tofautitofauti,tatizo la siku hizi wengi wanaingia kwenye ndoa bila kuwa na elimu ya kutosha kuhusu mambo ya ndoa na wanandoa.Ni kweli mtu anamchoka mtu au ni fikira zake amezitune hivyo?Test hii,umemchoka kweli?Uko tayari kushea na mtu huku ukijua unashea na usiwe na wivu?"The grass always looks greener on the other side."
 
Polee ni hali ya kawaida hiyo
mke/mume ni kitu ambacho unakipenda sana na mnapoanzana mnataka kuwa karibu na kila mtua jue hamuoni aibu kufanya vitu vyovyote pamoja ikiwa pamoja na kuoga hapa mapenz ni motomoto, na kwa gharama yoyote ile hutamani kukaa mbali na huyo mke/mume wako wala hutaelewa hata mtu akikwambia habari mbaya kuhusu huyo umpendaye wakati huo.
Wakati ni ukuta ukigombana nao utaumia, namaanisha muda unasiri zake kwenye maisha yetu na anayegundua kuuheshimu muda na kuutumia vizuri basi huyo mtu hatajuta wala hatapata shida maishani mwake kwani saa sita mchana ya leo tarehe 27/07/2012 haitakuwa sawa na saa sita mchana ya kesho au j2 ijayo au siku ingine yyeyeote duniani.
Utumie muda wako ipasavyo na mwenzi wako kwani ikipita leo hutapata nafasi tena ya kurekebisha yaliyotakiwa kufanyika jana na ukilazimisha kubananisha ya jana na leo looooh! jibu utaliona mwenyewe.

niliyosema hapo juu nisawa na mfano huu,
Ukinunua blackberry yako mpya aina ya torch au ipad3 ya apple hutataka mtu mwingine aiguse kwa maana ya kuhofia kuiharibu kwamaana hutaweza mdai ailipe au unajua hawezi kukupatia kama hiyo, hutataka kukaa mbali na kifaa chako kipya hicho na utatumia muda mwingi iwezekanavyo kukijua zaidi hicho kifaa ili iwe rahisi kukitumia na kikipata shida tuu utaaga hata kazini kukihudumia kipone au kirudi hali yake ya kawida. Na kunamuda inafika unakizoea hiki kifaa(simu) na hata unaweza muachia mtoto wako akaitumbukiza kwenye maji wala haikupi presha yaani sio kipya tena ila ili ukithamnini waweza nunua new cover, ongezea memory card etc ili ukirejeshee upya na kukipenda kwa upya tena.

So ongeza maujanja ndoa iwe mpya tena, vunja ukimya kwani naye ana hali kama uliyonayo wewe ukingojea yeye aanze kuvunja ukimya oohooo isijekula kwako.

Hii ni kawaida na ukiniuliza kwa nini huwa inatokea hv hata mie sjui ila najali sana muda hasa kwenye ndoa yangu hata muda wa kutatua tatizo unatakiwa kuujia ni wikend, au holoidays au usiku au asubuhi.... it depends to ur marriage.
 
Asante sana dada sakapal ila FYI: mimi sijafika huko kwenye kuchokana, mie mgeni tu kwenye huu uwanja sasa nataka kujua as much as posible ili niwe na control mahusiano yangu.

Polee ni hali ya kawaida hiyo
mke/mume ni kitu ambacho unakipenda sana na mnapoanzana mnataka kuwa karibu na kila mtua jue hamuoni aibu kufanya vitu vyovyote pamoja ikiwa pamoja na kuoga hapa mapenz ni motomoto, na kwa gharama yoyote ile hutamani kukaa mbali na huyo mke/mume wako wala hutaelewa hata mtu akikwambia habari mbaya kuhusu huyo umpendaye wakati huo.
Wakati ni ukuta ukigombana nao utaumia, namaanisha muda unasiri zake kwenye maisha yetu na anayegundua kuuheshimu muda na kuutumia vizuri basi huyo mtu hatajuta wala hatapata shida maishani mwake kwani saa sita mchana ya leo tarehe 27/07/2012 haitakuwa sawa na saa sita mchana ya kesho au j2 ijayo au siku ingine yyeyeote duniani.
Utumie muda wako ipasavyo na mwenzi wako kwani ikipita leo hutapata nafasi tena ya kurekebisha yaliyotakiwa kufanyika jana na ukilazimisha kubananisha ya jana na leo looooh! jibu utaliona mwenyewe.

niliyosema hapo juu nisawa na mfano huu,
Ukinunua blackberry yako mpya aina ya torch au ipad3 ya apple hutataka mtu mwingine aiguse kwa maana ya kuhofia kuiharibu kwamaana hutaweza mdai ailipe au unajua hawezi kukupatia kama hiyo, hutataka kukaa mbali na kifaa chako kipya hicho na utatumia muda mwingi iwezekanavyo kukijua zaidi hicho kifaa ili iwe rahisi kukitumia na kikipata shida tuu utaaga hata kazini kukihudumia kipone au kirudi hali yake ya kawida. Na kunamuda inafika unakizoea hiki kifaa(simu) na hata unaweza muachia mtoto wako akaitumbukiza kwenye maji wala haikupi presha yaani sio kipya tena ila ili ukithamnini waweza nunua new cover, ongezea memory card etc ili ukirejeshee upya na kukipenda kwa upya tena.

So ongeza maujanja ndoa iwe mpya tena, vunja ukimya kwani naye ana hali kama uliyonayo wewe ukingojea yeye aanze kuvunja ukimya oohooo isijekula kwako.

Hii ni kawaida na ukiniuliza kwa nini huwa inatokea hv hata mie sjui ila najali sana muda hasa kwenye ndoa yangu hata muda wa kutatua tatizo unatakiwa kuujia ni wikend, au holoidays au usiku au asubuhi.... it depends to ur marriage.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom