Kujipendekeza kwa mwenzio kunasaidia smtimesHuwa kuna wakati hutokea kama kuna zimwi linapita hivi! Hamna ugomvi, hakuna tatizo lolote lakini kama mnaogopana kufanya jambo!!
Siku mkipata wasaa wa kujadili tatizo nini kila mmoja ataanza na "mi nilijua wewe....!!" (Umekasirika/huna hamu)
Mkiiendekeza hiyo hali mtamaliza mwaka bila kuingiliana na mwishowe mtazalisha ugomvi wa ukweli!
Ilo swali gum aisee cjaulizaHuyo bidada anafanya hayo kwa kuvutia hisia kwa nani? Hao wana ndoa kila mmoja ana hisia kwa mwenzake?
Afya wako sawa? Hygiene?
Ha ha haWazee wiki ni ngumu mnooo, huku nje watu wanavaa vaa vidude vidude tuu, halafu ukae wiki, hata kama kuna kaugomvi, yaani namuomba tu suluhu kwa muda baadae na ugomvi wetu unaendelea. Ile kitu nyie ni tamu wajameni, wanaume hatuwezi kununa wengine mbele ya ile kitu. Nafkir hapo kuna mtu anavuta kasi tuu ili koroba kijae halafu atangaze vita.
Hivi wewe mtoa mada hii ulishuhudia (yaani kwako) au umesimuliwa (kwa mwingine),?Et hii imekaaje wanandoa wapya hamna mtoto hamna ugomvi mnamaliza wiki 2 hamjasex na mnalala kitanda kimoja shuka moja naked...
hamna majukum makubwa Sana yakuwafanya muwe busy et hii imekaa au nikawaida?
Ndoa haina mwaka
Duuuh kazi ipoEt hii imekaaje wanandoa wapya hamna mtoto hamna ugomvi mnamaliza wiki 2 hamjasex na mnalala kitanda kimoja shuka moja naked...
hamna majukum makubwa Sana yakuwafanya muwe busy et hii imekaa au nikawaida?
Ndoa haina mwaka
Au labda wamelazimishwa kuoana
Wewe umejuaje hayo?
Inakuwaje? Kama wewe ni mhusika basi sababu unaijua
Huyo aliekusimulia ungemdadisi tatizo ninini au walilazimishwa kuoana.
Kuna tatizo, moshi unafuka hapo!
Wiki ni ndefu sana hata kama tuna majukum angalau siku mbili tatu
Achilia mbali hata mue na mtoto wiki bado ndefu hapo wakae waulizane shida ni nn