Wanandoa nisaidien hili swali

Wanandoa nisaidien hili swali

Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja

Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
Mnapoishi kwa taratibu fulani mnatengeneza mazoea fulani.. kulingana na maelezo yako inaweza kua ni kosa au sio kosa kulingana na mazoea walionayo.. Kuna ndoa zingine mke/mme hawezi hata kuamisha position ya kitanda bila kumshirikisha mwenzake maana wametengeneza mazoea hayo. Ndoa nyingine mmoja anaweza amua anunue gari bila kumshirikisha mwezake na ikawa poa tu.
 
Suala la kuja ndugu kuishi kwako nalo nilakujadiliana? Huyo ndugu wa mume unajua ameacha ndugu wangapi hd akachagua kuja kuishi kwenu.
Acha roho mbaya ukiwa na mji kubali kula na ndugu wa pande zote kubali kula na tajiri kubali kula na maskini pia.
Kubali kula na wenye akili timamu na wasio na akili timamu.
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja

Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
 
Suala la kuja ndugu kuishi kwako nalo nilakujadiliana? Huyo ndugu wa mume unajua ameacha ndugu wangapi hd akachagua kuja kuishi kwenu.
Acha roho mbaya ukiwa na mji kubali kula na ndugu wa pande zote kubali kula na tajiri kubali kula na maskini pia.
Kubali kula na wenye akili timamu na wasio na akili timamu.
Bahati mbaya hujaelewa hata nilichomaanisha umekuja na yako kichwan pole
 
Minimekaa na familia ya upande wangu na Wa mke kwa muda ila kwa sasa uchumi wangu umeyumba nimeamua sitaki kukaa na familia kubwa lkn wife kaleta mdogo wake Wa kiume aje akae hapo home tena bila taatifa yaani nimeambiwa wakati wameshakubaliana sijakaa vizuri Luna msichana ndugu yake keshamwambia aje anasema kazi nyingi hawezi anataka msaidizi na yeye no mama Wa nyumbani watoto tunao wawili tu nyumba in vyumba 2 na sebule nataka nimchane live kuwa sitaki familia kwa sasa nataka nikae mm na watoto coz kipayo kimeshuka take wwnyewe ntakuwa nimekosea?
Mtafutie kazi au biashara uyo mke wako.... Ili uyo msaidizi aliyemleta aje amsaidie vizuri
 
1.Mgeni ni Baraka na Maandiko yanasema tunao amini maandiko matakatifu nyumba isiyo kaliwa na wageni sio nyumba.

2.Swala la kupokea mgeni alihitaji kuomba ruhusu au kujadiliiana maana ya kujadili inamaana kuna majibu ya ndio au hapana uo ni uchoyo na roho mbya iliyo kubuhu sisi tulio kua zaman simu azijakua za kawaida tulikua tunaondoka bila taarifa kwenda kwa KAKA,MJOMBA ,SHANGAZI NK.aya ya digital siku izi ndio maana kila kukicha tunalaumu maisha ni Magumu maana na hizi roho chafu tulizo nazo tukipata maisha mazur ndugu kijijini watajuta
 
Bahati mbaya hujaelewa hata nilichomaanisha umekuja na yako kichwan pole
Nimekuelewa umekuja na kivuli cha rafikiako wakati n ww mwenyewe.
Kwann km ni rafikiako msiyamalize huko huo ni umbea kuja kutangaza mambo yenu huku
 
Ndugu anayetakiwa kuja kukaa kwakoni
Mama/baba wazee
Mgonjwa anauguzwa
Mwanafunzi anayesoma
Mtoto ambaye wazazi wamefariki.

Wenye nguvu zao wakakae huko watafute maisha. Watakuja kuleta maneno tu.!!
Mtu na akili zake anaenda kuweka kambi kwa dada/kaka mwaka mzima!!
Khaaaaa!!
 
Maswali km hayo yanaashiria vitu viwili.

Moja una roho mbaya yenye chuki, ubinafsi na uchoyo.

Au pili kuna tatizo la kiuchumi, mazingira na kipato.


Tukiacha hayo yoote.... Kwa mtu ambaye yuko real na understand kwa nyanja zoote... Yaani kielimu.. Utamaduni na maisha ya kawaida.

Ujio wa ndugu katika nyumba yenu sio kitu cha kujadili.... Kwan yeye huwa anapunguza nin au kuongeza!?


Ifike steji tutambue kuwa ndoa au mahusiano ni kitu cha kupita tu... Na ndugu ubakia kuwa ndugu.

Binafsi haina haja ya mjadala.. Akija ghfra akitoa taarifa yoote sawa tu... Na mimi nikimwambia mwenza au nisipomwambia yoote akubaliane nayo tu.

Minor shits hizi usizipe nafasi katika ubongo...
 
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja

Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
Go to hell. Are you in elementary school?
 
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja

Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
Duuh
 
Mume ATAAMBATANA na mkewe, nao hawa wawili watakuwa mwili mmoja.

Hapo tatizo lao kubwa hawajakubali kuambatana pamoja, mume bado anadhani yuko peke yake wakati amekwisha kuoa. Lakini pia hujasema mke naye anachangamoto gani, yawezekana alishaonyesha dalili ya kutotaka ndugu hapo kwake.
 
Yapo ya kushirikishwa na yapo ya kupewa taarifa tu.

Mgeni kuja nyumbani kuwatembelea na hata kuja kuishi huwa ni baraka, unless unamambo yako unayoyaficha, lakini mgeni yoyote kwa upande wowote ule ni baraka, ili mradi una nafasi ya kumu accommodate. Kwa hy hilo halihitaji ushirikishwaji iwe kwa upande wowote ule, kwako ama kwake.

Masuala kama ujenzi, ununuzi wowote mkubwa au kumhudumia mtu au mwanandugu kama ada, matibabu na shughuli yoyote ile inayohusisha uchotaji wa fedha nyingi za familia hapo usiposhirikishwa,lalamika.
 
Back
Top Bottom