ukijifanya msamaria utaishia hapo hapo.....kuwa kauzu....huwezi kumridhisha binadamu hata kama ni ndugu dada....Ndugu ukiwa mjini alafu unanafasi kidogo swala la ndugu kulikwepa hauwezi
Mnapoishi kwa taratibu fulani mnatengeneza mazoea fulani.. kulingana na maelezo yako inaweza kua ni kosa au sio kosa kulingana na mazoea walionayo.. Kuna ndoa zingine mke/mme hawezi hata kuamisha position ya kitanda bila kumshirikisha mwenzake maana wametengeneza mazoea hayo. Ndoa nyingine mmoja anaweza amua anunue gari bila kumshirikisha mwezake na ikawa poa tu.Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja
Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
HahahaaaaUmenena vyema mkuu, kwa upande wangu mke akiniletea mgeni ndan sina taarifa, si yeye wala wageni wake watapata taab sana
Na hapa naongelea mgeni anaekaa mda mrefu mwaka na kuendelea uko
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja
Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
Bahati mbaya hujaelewa hata nilichomaanisha umekuja na yako kichwan poleSuala la kuja ndugu kuishi kwako nalo nilakujadiliana? Huyo ndugu wa mume unajua ameacha ndugu wangapi hd akachagua kuja kuishi kwenu.
Acha roho mbaya ukiwa na mji kubali kula na ndugu wa pande zote kubali kula na tajiri kubali kula na maskini pia.
Kubali kula na wenye akili timamu na wasio na akili timamu.
Mtafutie kazi au biashara uyo mke wako.... Ili uyo msaidizi aliyemleta aje amsaidie vizuriMinimekaa na familia ya upande wangu na Wa mke kwa muda ila kwa sasa uchumi wangu umeyumba nimeamua sitaki kukaa na familia kubwa lkn wife kaleta mdogo wake Wa kiume aje akae hapo home tena bila taatifa yaani nimeambiwa wakati wameshakubaliana sijakaa vizuri Luna msichana ndugu yake keshamwambia aje anasema kazi nyingi hawezi anataka msaidizi na yeye no mama Wa nyumbani watoto tunao wawili tu nyumba in vyumba 2 na sebule nataka nimchane live kuwa sitaki familia kwa sasa nataka nikae mm na watoto coz kipayo kimeshuka take wwnyewe ntakuwa nimekosea?
Nimekuelewa umekuja na kivuli cha rafikiako wakati n ww mwenyewe.Bahati mbaya hujaelewa hata nilichomaanisha umekuja na yako kichwan pole
Go to hell. Are you in elementary school?Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja
Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
DuuhNimeulizwa swali kwangu limekua kidogo
Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani?
mfano rafik angu kuna anaishi na wifi zake 2 mme anapigiwa cm kwao fulan anakuja kukaa huko amwambii mkewe ,, mke anashtuka tu mgen kafika au anaambiwa mgen yupo njiani anakuja
Mi nauliza tu kwenye ndoa inakuaje? au kutokana na makubaliano yenu
Go to hell. Are you in elementary school?
Umeandika haraka sana bibie...
Naona hapa tupewe majibu nawalioa nakuolewa sisi tunaolala kama baiskeli
Mume ATAAMBATANA na mkewe, nao hawa wawili watakuwa mwili mmoja.
Hapo tatizo lao kubwa hawajakubali kuambatana pamoja, mume bado anadhani yuko peke yake wakati amekwisha kuoa. Lakini pia hujasema mke naye anachangamoto gani, yawezekana alishaonyesha dalili ya kutotaka ndugu hapo kwake.
Yapo ya kushirikishwa na yapo ya kupewa taarifa tu.
Mgeni kuja nyumbani kuwatembelea na hata kuja kuishi huwa ni baraka, unless unamambo yako unayoyaficha, lakini mgeni yoyote kwa upande wowote ule ni baraka, ili mradi una nafasi ya kumu accommodate. Kwa hy hilo halihitaji ushirikishwaji iwe kwa upande wowote ule, kwako ama kwake.
Masuala kama ujenzi, ununuzi wowote mkubwa au kumhudumia mtu au mwanandugu kama ada, matibabu na shughuli yoyote ile inayohusisha uchotaji wa fedha nyingi za familia hapo usiposhirikishwa,lalamika.
Poa poa nimepata kitu