Wanandoa tuache unafiki na huu msemo “amelala na mchepuko kwenye kitanda wanacholalia na mkewe/mmewe”

Wanandoa tuache unafiki na huu msemo “amelala na mchepuko kwenye kitanda wanacholalia na mkewe/mmewe”

Zamanu niliambiwa na wazee wangu kua mwanamke atasamehe makosa yote ya uchepukaji ya mume wake, lakini kosa pekee ambalo halina msamaha ni mumewe kuchepuka kwenye kitanda wanachokilalia wao mume na mke.
Sa sijui, labda niulize wadada waliomo humu jukwaani, je ni ya kweli hayo??
Kabla ya kuwauliza wadada, vipi ukikuta mke wako na mwanaume mwingine kwenye kitanda chako????
 
Siyo kweli.... ndoa ikishafungwa hata kama hamjashiriki tendo la ndoa tayari ninyi ni wanandoa Rasmi.... hata Akifa mmoja kabla ya kukutana kimwili anayebaki atamrithi mwenzake kulingana na sheria bila kujali walishiriki tendo au hawakushiriki....

Ukisema tendo linarasimishe maana yake kabla ya kushiriki basi ndoa hiyo siyo rasmi.

Kwenye ndoa lengo lenu ni urithi tu, mnaamini wa kufa kwanza ni mwanamme tu…. pumbavu kabisa.

Mwanamke akifa [if that] mume atarithi nini?
 
Unajaribu kuhalalisha kilichokukuta, tubu tu na urekebishe sio kujitetea namna hii.
 
Afu kwann umlete ndan wakati umeoa au umeolewa? Kutafuta vifo vya kujitakia
 
Kwenye ndoa lengo lenu ni urithi tu, mnaamini wa kufa kwanza ni mwanamme tu…. pumbavu kabisa.

Mwanamke akifa [if that] mume atarithi nini?
Mawazo mgando..... aliyesema mwanaume ni kwanza kufa nani?

Wanawake na wanaume wote wana haki hiyo...

Don't think wanawake wa sasa ni wale wa wakati ule!!!! ukisimama na mwanamke wa sasa iwe kwa elimu, fedha au exposure... any side can loose!!!!
 
Nmetoka kufokewa,
Nmemkalisha kahaba kwenye siti anayokaa Mchepuko Wangu[emoji4]
 
Kiufupi

Haipendezi kuzagamuana na mvhepuko wako kwenye kitanda unacholala na mkeo/mumeo


Kwanza Ni dharau

Kwa hiyo usijaribu kujitetea saaaaaaaana!!!
Sio heshimu kuzagamuana popote tofauti na ulie nae kwenye ndoa.. hata kama mtaenda nje ya nchi haifai.. tulia njia kuu
 
Mawazo mgando..... aliyesema mwanaume ni kwanza kufa nani?

Wanawake na wanaume wote wana haki hiyo...

Don't think wanawake wa sasa ni wale wa wakati ule!!!! ukisimama na mwanamke wa sasa iwe kwa elimu, fedha au exposure... any side can loose!!!!

Unaweza kujitetea utakavyo, ila speaking of kurithi hii ni straight from a man to a bitch…. no more no less.
 
BILA SHAKA MTU ALIYEANDIKA HII POST NI MSOMI WA COURSE YA SHERIA.

Huwa vile vifungu vinawapelekesha sana na kutaka kuapply in real life... Mwisho wa siku wanakuwa wabishi tu wa kuanzisha mijadala isiyo na tija...
 
Unajaribu kupotosha tu, ila speaking of kurithi hii ni straight from a man to a bitch…. no more no less.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Labda kwako ila USIGENERALIZE.... wadada wa sasa siyo waleeee,,,,
 
Unatakiwa uwe na vitanda viwili, kimoja cha ndoa na kingine cha kuchepuka.
 
Sasa hapo kuna unafiki gani, kama mtu amekudharau kiasi cha kulala na mtu mwingine kwenye kitanda chenu huoni kama imepitiliza?

Hakuna unafiki wowote hapo, lazima kitanda chako na mumeo kiheshimiwe, hata kama kabla yako waliletwa mamluki!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hahahaha hiyo kauli ipo na malengo ya kufanya moto uwake maradufu
 
Back
Top Bottom