Wanandoa tuliolala peke yetu vyumbani na wake peke yao tujuane

Wanandoa tuliolala peke yetu vyumbani na wake peke yao tujuane

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna maisha unapitia unaona shetan mbona akuachi hasa ukiangaalia mapambano magumh ya maisha

Miezi kadhaa niliwahi lala mwenyewe kama miezi 4 mke alilala na watoto akahamia kwa chumba cha wageni

Haikuwa rahisi yale machunhu pamoja na kurudiana kuna wakati nafungua redio kusikiliza kiboko ya wachawi ilimradi nihamie upande mwingine naamka mwepesi

Shida nikilala hivyo keshoyake yaan napata channel za hela na lazima niwe na gfriend

Nawatakua wote waliopitia na wanaopitia wasikate tamaa waking mke amazingly simamen kama vichwa msiteseke sanaa pambane komaen na maisha mengine mkumbuke aman ndio muhimu kwanza

Wapo wajane wanarelax na kufurahia maisha yao waganewana enjoy sembuse wewe

Ukawe na usukumwema
 
Hahahaa pole mkuu ,Kiboko ya wachawi ni kama Ze comedy ,huwa nasikiliza kucheka kwa vibwagizo na FUTUHI zao.
 
Back
Top Bottom