Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Ww urassa tufungue ukurasa mpya wa mapenzi 😀😉Aaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww urassa tufungue ukurasa mpya wa mapenzi 😀😉Aaah
Na wakati sisi wengine mtu akisema anakuja kwako unazima simu maana pa kumlaza hamna 😔😔😔. Life in general has never been even close to fair.Kha watu mna hadi chumba cha wageni...kweli wengine mnaenjoy paradiso hapa hapa duniani
Kabisa...sio fair. Kwema lakini mremboNa wakati sisi wengine mtu akisema anakuja kwako unazima simu maana pa kumlaza hamna 😔😔😔. Life in general has never been even close to fair.
Kwema kabisa Handsome. Mambo?Kabisa...sio fair. Kwema lakini mrembo
PoaKwema kabisa Handsome. Mambo?
Poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wengine sio alone tuu.... Na dogo niliachiwa[emoji29][emoji29][emoji29]
Yaani watu wanaishi bhana😃😃Kha watu mna hadi chumba cha wageni...kweli wengine mnaenjoy paradiso hapa hapa duniani
😀😀aiseeTukiwaambia NDOA katika miaka hii ni upuuzi hamuelewi.....hata kama mmependana endeleeni kudate mpaka mfe
Upo weye mrembo...mwaka unaisha lakini nakumbushia jambo letu 😜Yaani watu wanaishi bhana😃😃
Hauna ndugyako amenyooka tulimalize Hilo suala😃😃Upo weye mrembo...mwaka unaisha lakini nakumbushia jambo letu 😜
Aise acha tuu kumbe sie na vigheto vyetu tunasindikiza wengine.
So hapo mgeni asipokuja kipo wazi tuu..jamani
Sii ili mradi anapumua tuu na hela ya kubadilisha mboga ipo....huyo yupo tena chap kwa haraka unampataHauna ndugyako amenyooka tulimalize Hilo suala😃😃
Kupumua ndio la muhimu siunajua nishakuwa lishangazi nisiekuwa na gari😃😃Sii ili mradi anapumua tuu na hela ya kubadilisha mboga ipo....huyo yupo tena chap kwa haraka unampata
Kwa hiyo wewe una zile TTT zinazohitajika kuwa shangaziKupumua ndio la muhimu siunajua nishakuwa lishangazi nisiekuwa na gari😃😃
😁Ama namna gani pale😀😀aisee
Kwahiyo Mjomba wee kumdate tu kumuona aah🤣🤣🤣😁Ama namna gani pale
Dunia ya Leo kuoana uongo, tunaleteana sheria tu maisha yenyewe haya hayaKwahiyo Mjomba wee kumdate tu kumuona aah🤣🤣🤣