Wanandoa waishio mikoa tofauti

Wanandoa waishio mikoa tofauti

hakiba

Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
19
Reaction score
33
Salaam.

My first thread kipande hiki cha mahusiano which is my favourate in this platfom. Twende kwenye topic, tupeane experience kwa wanandoa wanaoishi mikoa tofauti kutokana na sababu za kikazi n.k.

Inakuwaje kuwaje hasa kwa mwanaume issues kama usafi wa ndani, kufua, mambo ya kutandika kitanda n.k, ni kweli mwanaume anarudi lile life la kigeto geto au linatafutwa chimbo saidizi?

Maana yake mimi binafsi sizipendi hizi kazi na ndoa ya namna hii aisee sidhani kama naweza kutoboa. Wanandoa mnaoishi mikoa tofauti hasa wanaume tupeni experience mnafanyaje fanyaje?

Mnarudia geto life kupiga hizi kazi wenyewe? Au chimbo dogo a k a koloni linahusika?

NB: Hata nikiwa na girlfriend kunisaidia hizi kazi kukampita kushoto, plans nae less than or equal to zero😕
 
Yaan unataka kujua, wanandoa waishio mbali mbali, hususani wanaume suala la majukumu ya ndan linakuaje? Au ndo anatafuta demu mwengine?

Ukiwa ni mchafu ni mchafu tu shukuru Mungu alikupa Mwanamke wa kukuvumilia.
 
Ndoa ya kukaa mbali mbali dini ya kiislam imekataaa.

Yaani uoe mke kisha akaishi Dodoma wewe mwanaume unaishi Dar ama Kigoma. Unasemaje kuna ndoa hapo.
 
Utawajua kwa matendo/maongezi/miandiko yao.
 
Binafsi huu ni mwaka wa 7 tunaishi mbalimbali na naenjoy zaidi nikiwa mwenyewe manake yule mwanamke kelele nyingi na masharti kibao, tangu kitambo nilishazoea kufua, kujipikia na kufanya usafi wa nyumba.

So kwangu sio inshu kabisa kuishi mbalimbali, kitaa nina michepuko 5 basi full burudani nasahau kabisa kama nina mke
 
Raha yake hasa kwa mwanaume ni kuchepuka tu...

Ila kimsimgi ni kero kubwa.
 
Hata kwa wanawake raha sana, hupikii toto la mtu, hulifulii unachepuka unavyotaka.

Mtaani nacheza vikoba zaidi ya sita hakuna wa kunikazia ruhusa, kila sherehe nahudhuria narudi muda ninaotaka...michepuko hapo no comment. Raha tu.
acha basi..

nasikia wanawake mna uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila kugegedwa..

Tofauti na Men
 
Ndoa ya hivyo haipo ni kuhidanganya tu hamuwezi kupanga chochote wala kuendelea
Halafu kusalitiana ni nje nje tu hakuna cha kusema eti mwanamke anaweza kuvumilia asisex ! Mwanaume ndo kabisa utakuwa na michepuko mpaka kero!
Malezi ya watoto yanakuwa ni one sided gharama za matumizi zinakuwa double yaani kwa mke na kwa mume kila mtu ana spend tofauti
Kwa ufupi ndoa nyingi za namna hiyo zimekufa au zina migogoro ?
 
Si jambo jema kuna chances na loop holes nyingi za kuchepuka kuliko mkiwa pamoja
 
Binafsi huu ni mwaka wa 7 tunaishi mbalimbali na naenjoy zaidi nikiwa mwenyewe manake yule mwanamke kelele nyingi na masharti kibao, tangu kitambo nilishazoea kufua, kujipikia na kufanya usafi wa nyumba.

So kwangu sio inshu kabisa kuishi mbalimbali, kitaa nina michepuko 5 basi full burudani nasahau kabisa kama nina mke
Si heri muachane Sasa .
 
acha basi..

nasikia wanawake mna uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila kugegedwa..

Tofauti na Men
Inategemea ntu ntu, halafu kama uko mbali nakuhudumia matumizi unasua sua utasaidiwa tu.
Wanawake tunapenda kuhudumiwa kama nyie mnavyopenda kugegeda.
 
Si heri muachane Sasa .
Ni kama hakuna ndoa ,ni kwa sababu tu ya watoto ila nahisi wote Mimi na mama watoto wote tunajua hakuna ndoa serious Kati yetu ndo maana hata yeye alidiriki kutamka kwamba tulifunga ndoa ya bomani kwa sababu ya kulinda maslahi fulani ya kazini kwake,sasa kwa hali hii unafikiri kuna la zaidi hapa
 
Hata kwa wanawake raha sana, hupikii toto la mtu, hulifulii unachepuka unavyotaka.

Mtaani nacheza vikoba zaidi ya sita hakuna wa kunikazia ruhusa, kila sherehe nahudhuria narudi muda ninaotaka...michepuko hapo no comment. Raha tu.
Mpaka nimesahau kama ni mke wa mtu
 
Ni kama hakuna ndoa ,ni kwa sababu tu ya watoto ila nahisi wote Mimi na mama watoto wote tunajua hakuna ndoa serious Kati yetu ndo maana hata yeye alidiriki kutamka kwamba tulifunga ndoa ya bomani kwa sababu ya kulinda maslahi fulani ya kazini kwake,sasa kwa hali hii unafikiri kuna la zaidi hapa
Ushatekwa na michepuko. Mama watoto aliropoka wakati mko sawa na mna furaha, lazima itakuwa aliropokwa wakat wa kipurukushani.
 
Back
Top Bottom