Wanandoa wanapopishana umri kwa miaka mingi changamoto za magonjwa ya uzeeni zifikiriwe

Wanandoa wanapopishana umri kwa miaka mingi changamoto za magonjwa ya uzeeni zifikiriwe

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Msemo wa age is just a number ndiyo habari ya mjini. Babu wa miaka 70 anafunga ndoa na binti wa miaka 25. Au bibi wa 55 anaolewa na kijana wa 35. Mwanamama mtunzi wa vitabu aitwae Jacque Collins aliwahi kusema tofauti ya umri kati ya wanandoa ikiwa kubwa sana mara nyingi mmoja wapo kati yao uchumi umetulia.

Kwa maendeleo ya sayansi na imeleta mabadiliko mengi kwa, binadamu tunaishi muda mrefu. Magonjwa mengi yaliyokuwa hatari zamani sikuhizi yanaitwa magonjwa sugu. Binadamu anaejali afya yake anafikisha miaka 90 bila shida ingawa safari za hospitali kwa wengine zinapngezeka.

Duniani maradhi yanayosumbua wazee hasa katika hatua za kuzeeka yaitwayo dementia mpaka sasa hayajapatiwa tiba. Dementia huharibu au kupunguza uwezo wa ubongo katika maisha ya kila siku ya mwanadamu.
Changamoto za dementia humfanya mtu kuwa vulnerable na ni rahisi kuonewa , kuibiwa na kunyanyaswa kama wanaokulea hawana mapenzi ya dhati.

Kabla hamjaamua wa kutumia nao pesa zenu, fikirieni hili pia.
 
Hawawezi kuelewa haya kwa kuwa msukumo wa ndoa za namna hii mara nyingi huwa haziegemei au kufungamana na maana halisi ya ndoa bali ni kwa mtazamo wa fursa ya kupata au kufanikisha jambo fulani tu , na mara nyingi huwa ni mali........
 
Msemo wa age is just a number ndiyo habari ya mjini. Babu wa miaka 70 anafunga ndoa na binti wa miaka 25. Au bibi wa 55 anaolewa na kijana wa 35. Mwanamama mtunzi wa vitabu aitwae Jacque Collins aliwahi kusema tofauti ya umri kati ya wanandoa ikiwa kubwa sana mara nyingi mmoja wapo kati yao uchumi umetulia.

Kwa maendeleo ya sayansi na imeleta mabadiliko mengi kwa, binadamu tunaishi muda mrefu. Magonjwa mengi yaliyokuwa hatari zamani sikuhizi yanaitwa magonjwa sugu. Binadamu anaejali afya yake anafikisha miaka 90 bila shida ingawa safari za hospitali kwa wengine zinapngezeka.

Duniani maradhi yanayosumbua wazee hasa katika hatua za kuzeeka yaitwayo dementia mpaka sasa hayajapatiwa tiba. Dementia huharibu au kupunguza uwezo wa ubongo katika maisha ya kila siku ya mwanadamu.
Changamoto za dementia humfanya mtu kuwa vulnerable na ni rahisi kuonewa , kuibiwa na kunyanyaswa kama wanaokulea hawana mapenzi ya dhati.

Kabla hamjaamua wa kutumia nao pesa zenu, fikirieni hili pia.

M-babu wa miaka 60 anaoa kabinti ka miaka 25 ili akizeeka hako kabinti kamlee

Binti wa miaka 25 anakubali kuolewa na kibabu cha miaka 60 ili kikizeeka/kufa arithi mali

Hivi hii sio "win win situeshen"??
 
M-babu wa miaka 60 anaoa kabinti ka miaka 25 ili akizeeka hako kabinti kamlee

Binti wa miaka 25 anakubali kuolewa na kibabu cha miaka 60 ili kikizeeka/kufa arithi mali

Hivi hii sio "win win situeshen"??
Kweli kabisa. Mie bwana ata nikiwa na 80 nachukua dogodogo kama mali atarithi atajiju mie cha msingi tagari nipo six feet under na sijui yanayoendelea.

Cha msingi nikiwa hai nagegeda papuchi young.
 
Uzi bila picha haunogi

Kingsmann
IMG-20210303-WA0021.jpg


Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Msemo wa age is just a number ndiyo habari ya mjini. Babu wa miaka 70 anafunga ndoa na binti wa miaka 25. Au bibi wa 55 anaolewa na kijana wa 35. Mwanamama mtunzi wa vitabu aitwae Jacque Collins aliwahi kusema tofauti ya umri kati ya wanandoa ikiwa kubwa sana mara nyingi mmoja wapo kati yao uchumi umetulia.

Kwa maendeleo ya sayansi na imeleta mabadiliko mengi kwa, binadamu tunaishi muda mrefu. Magonjwa mengi yaliyokuwa hatari zamani sikuhizi yanaitwa magonjwa sugu. Binadamu anaejali afya yake anafikisha miaka 90 bila shida ingawa safari za hospitali kwa wengine zinapngezeka.

Duniani maradhi yanayosumbua wazee hasa katika hatua za kuzeeka yaitwayo dementia mpaka sasa hayajapatiwa tiba. Dementia huharibu au kupunguza uwezo wa ubongo katika maisha ya kila siku ya mwanadamu.
Changamoto za dementia humfanya mtu kuwa vulnerable na ni rahisi kuonewa , kuibiwa na kunyanyaswa kama wanaokulea hawana mapenzi ya dhati.

Kabla hamjaamua wa kutumia nao pesa zenu, fikirieni hili pia.
Ushauri mzuri
 
The old rule of determining a socially-acceptable age difference in partners goes something like this: half your age plus seven (40 = 20 +7 = 27) to define the minimum age of a partner and your age minus seven times two (40 = 33 * 2 = 60) to define the maximum age of a partner.
 
Back
Top Bottom