Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndoa n jambi jema sana.
Usikubali kuingia kwenye ndoa mmenuniana.
Yaani ile miezi ya mwanzo msipoonyrshana upendo kinachofwata n mazoea ya ndoa.
Jitahidi hata ukiact hii miezi ndio ya kula raha ya pamojaaaaaaa
Yajayoooo yanafurahisha, sikutishii
Wachaga wanasema bado mtasemaaaa.
Sikukuu njema wote
Usikubali kuingia kwenye ndoa mmenuniana.
Yaani ile miezi ya mwanzo msipoonyrshana upendo kinachofwata n mazoea ya ndoa.
Jitahidi hata ukiact hii miezi ndio ya kula raha ya pamojaaaaaaa
Yajayoooo yanafurahisha, sikutishii
Wachaga wanasema bado mtasemaaaa.
Sikukuu njema wote