Wanandoa wengi hawapendani

Wanandoa wengi hawapendani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovina Mwakiyee (33) mkazi wa kijiji cha Mang'ula A wilayani Kilombero kwa tuhuma za kula njama na kumuua mume wake wa ndoa ambaye ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Signal, Christian Tangaraza mwenye umri wa miaka 39.

Tukio hilo lilitokea usiku wa June Mosi mwaka huu ambapo marehemu aliuawa kwa kupigwa na kitu butu wakati akiwa amelala ndani ya nyumba yake

Azam TV wameripoti

Halafu walishona hadi sare 😭😭😭
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovina Mwakiyee (33) mkazi wa kijiji cha Mang'ula A wilayani Kilombero kwa tuhuma za kula njama na kumuua mume wake wa ndoa ambaye ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Signal, Christian Tangaraza mwenye umri wa miaka 39.

Tukio hilo lilitokea usiku wa June Mosi mwaka huu ambapo marehemu aliuawa kwa kupigwa na kitu butu wakati akiwa amelala ndani ya nyumba yake

Azam TV wameripoti

Halafu walishona hadi sare 😭😭😭
 
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.

Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.

70 pedc
 
Ndoa Tamu ikiwa mtawekana huru, ukichoka ondoka bila kudai wala kudaiwa fidia hii itasaidia sana.
 
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa muda mfupi.

Yaliyomo moyoni yangejiandika usoni tungeshuhudia mengi ya ajabu mno.

Hiyo ni hali inayokukuta wewe na mkeo,usiwasingizie wanandoa wengine
 
 
Ni kweli wengi wanaishi kimkanda Mikanda tu ilimradi walee watoto.
 
Tatizo wanawake wengi walilazimisha ndoa kwa hila kwa kutegesha mimba na wengine kwa kuroga au vyote viwili.
Sex sio kipimo cha kupenda kwa mwanaume.
Sex kwa kwa sumę ni kama kula chakula, njaa ikomuuma Ana węża kula Chakula chochote anachoweza kukupata kwa wakati huo, lakini Haina maana kiwa hicho Chakula ndicho akipendacho zaidi.
Sasa kwa Bahati mbaya wanawake wengi wakitongozwa na Wanaume huzani wamependwa na kuanza kufanya hila na janja za kumshawishi
Mwanaume kuoa.
Imeandikwa; “ enyi binti Sayuni msiyachochee Mapenzi hadi yenyewe yatakapoona kufaa”
Sasa wakifika ndoani mwanaume moyo Haupo kabisa kwa mkewe.
Uko kwingineeee 👌👌👌
Vema huyo mke akajua kiwa mtii kwa mumewe lakini akiwa mbishi na mjeuri ndio anaharibu kabisaaa.
Na saingine mwanaume anaweza kumwambia “ hivi ilokuwaje nikakuoa? “
“ uliniroga wewe sio bure”
Mimi sio wa kuoa Mwanamke jeuri na kibiri kama wewe.
Ndoa Zina mambo
 
Halafu bahati mbaya ni kuwa wanawake wengi waloolewa huzani wanapendwa
Na Wanaume zao kumbe ni kinyume chake.
Laiti wangejua ukweli na uhalisia kuwa hawapendwi labda ingesaidia wanawake
Kuanza kuwa watii na kuwaheshimu Wanaume zao kama ilivyoandikwa.
 
Ni kwl mkuu wanandoa wengi hawapendani na wanaishi kimazoea,
Hii inasababishwa na kudanganyana mambo mengi wakati wa uchumba na baadae kwenye ndoa ikaonekana sio kwl.
Mfano.
-mume kudanganya kazi yake,
-kipato chake.
Mwanamke kudanganya maisha yake ya nyuma kabla ya ndoa.
Mfano.
- mahusiano yake,
-kuwahi kuwa na mtoto
-family yake. Nk..

Mara nyingi mke huweka tegemeo kubwa sn la maisha Kwa mume,,na mwisho wa siku anaona maisha hayabadiliki Wala hayana muendelezo..

Hapo ndy mke huchoshwa na ndoa na kutakani kutoka kwenda pengine.
 
Back
Top Bottom