Wanandoa wengi makadilio ni 70% ya wanandoa wanaishi kama maadui ndani ya nyumba

Wanandoa wengi makadilio ni 70% ya wanandoa wanaishi kama maadui ndani ya nyumba

Buchumipetro

Member
Joined
Mar 7, 2025
Posts
20
Reaction score
33
Wanandoa wengi makadilio ni 70% ya wanandoa wanaishi kama maadui ndani ya nyumba

yani hawana upendo kabisa ukifikili kwa undani ni mabadiriko ya akili ambayo ufanyika kwa wanandoa wengi sana

wakati mnaoana mlikuwa mnaitana majina mazuri sana na akili zenu zilikuwa zikiwaza tu upendo na pia mlijitahidi kila mmoja asimuudhi mwenzake

lakini mnapofika mda fulani mnaanza kuzoeana nakuanza kujidhalau

hii inapelekea kuondoa upendo katika akili yenu hadi moyoni

lakini madhala yakuondoa upendo akilin hadi moyoni na madhala yakumuchukulia poa mwenzako uliekuwa ukimuheshimu nakuogopa kumuudhi na madhala yakuacha kumuita majina ulokuwa ukimuita zamani

MADHALA;
°mwenzako atabadirika pia na tena nae atajikuta akili yake haiwazi upendo kwako kwasababu unakuwa tayali umemharibu kifikila tena moyo wake utajaa maumivu kwa wewe kuondoa ulokuwaukimfanyia au namna ya kumuita na hapo ndipo utashangaa sana mabadirko ya mwenzako na wakati wewe ndo ulianza

chunga sana usianzishe ubaya wowote kwa mmeo au mkeo
 
Wanandoa wengi makadilio ni 70% ya wanandoa wanaishi kama maadui ndani ya nyumba

yani hawana upendo kabisa ukifikili kwa undani ni mabadiriko ya akili ambayo ufanyika kwa wanandoa wengi sana

wakati mnaoana mlikuwa mnaitana majina mazuri sana na akili zenu zilikuwa zikiwaza tu upendo na pia mlijitahidi kila mmoja asimuudhi mwenzake

lakini mnapofika mda fulani mnaanza kuzoeana nakuanza kujidhalau

hii inapelekea kuondoa upendo katika akili yenu hadi moyoni

lakini madhala yakuondoa upendo akilin hadi moyoni na madhala yakumuchukulia poa mwenzako uliekuwa ukimuheshimu nakuogopa kumuudhi na madhala yakuacha kumuita majina ulokuwa ukimuita zamani

MADHALA;
°mwenzako atabadirika pia na tena nae atajikuta akili yake haiwazi upendo kwako kwasababu unakuwa tayali umemharibu kifikila tena moyo wake utajaa maumivu kwa wewe kuondoa ulokuwaukimfanyia au namna ya kumuita na hapo ndipo utashangaa sana mabadirko ya mwenzako na wakati wewe ndo ulianza

chunga sana usianzishe ubaya wowote kwa mmeo au mkeo
Utafiti aka ushahidi?
 
Hii ni kweli mkuu hapa nimell mzungu wa nne na wife🔏
 
Back
Top Bottom