Wanangu wa bodaboda ni kama mmegoma kwenda makanisani!

Wanangu wa bodaboda ni kama mmegoma kwenda makanisani!

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Bodaboda wanahitaji maombi sana ili wamrudie Mungu Hawa vijana ni kama wengi wamefungwa bila wao kujua.

Kanisa ndio sehemu sahihi ya mtu kupata msaada na maarifa ya kupata pesa kihalali huko club na sehemu zingine za starehe hamwezi kupata mafanikio ujumbe wangu fanyeni kazi msimsahau Mungu
 
Ratiba zao kulala saa saba usiku hapo amekutafuta malaya anaenda kukesha kwenye kiuno cha malaya

Kuamka saa moja kwenye visungura😄😄😄😄
 
Kwenda kanisani na kusali ni vitu viwili tofauti! makutupora dosho12 Intelligent businessman

Ebu ifike mahali maafisa usafirishaji mtu heshimu hussle zetu, tunalisha kupitia boda boda mzee
Kweli Mkuu! Kwenda kanisani sio ishara ya mtu kuonekana ndo hajafungwa ... Speaking from hoja ya vifungo, as he's mentioned

Mtu anaweza kwenda kanisani kila jumapili au kila jumamosi lakini asinufaike kwa chochote!

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu ya mazoea! Hiyo ibada

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu tu ya kutoonekana kuwa sio waasi!

Kuna pipo zinaenda chachi ili siku akifa kanisa lisije likamtenga katika kuzika maiti yake! Huu ni uzwazwa ... Ulikuwa na Simba nyikani nani atakuzika?

Ni wachache sana wanao kwenda chachi kwa ya kwenda kuabudu ... Worshipping the Lord it's all about intimacy and fellowship (Koinonia)

Ni wachache wanapenda chachi strategically ... Kujifunza na kuongeza Maarifa kwa neno la Mungu! Kupata ufunuo na majibu ya maisha yao

Yesu alisema " Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure ..."

Afu Kuna wakina sisi .. no church but we love the Lord

Tunasali na kufunga plus kutoa fungu la kumi

Tunasoma neno na kulitafakari plus kuliweka katika matendo ... Sign and Token

Tunafatilia online services

Ila church hatuendiiii ... Hatupendiii ila sisi majobless tunapitia mengi
 
Kweli Mkuu! Kwenda kanisani sio ishara ya mtu kuonekana ndo hajafungwa ... Speaking from hoja ya vifungo, as he's mentioned

Mtu anaweza kwenda kanisani kila jumapili au kila jumamosi lakini asinufaike kwa chochote!

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu ya mazoea! Hiyo ibada

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu tu ya kutoonekana kuwa sio waasi!

Kuna pipo zinaenda chachi ili siku akifa kanisa lisije likamtenga katika kuzika maiti yake! Huu ni uzwazwa ... Ulikuwa na Simba nyikani nani atakuzika?

Ni wachache sana wanao kwenda chachi kwa ya kwenda kuabudu ... Worshipping the Lord it's all about intimacy and fellowship (Koinonia)

Ni wachache wanapenda chachi strategically ... Kujifunza na kuongeza Maarifa kwa neno la Mungu! Kupata ufunuo na majibu ya maisha yao

Yesu alisema " Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure ..."

Afu Kuna wakina sisi .. no church but we love the Lord

Tunasali na kufunga plus kutoa fungu la kumi

Tunasoma neno na kulitafakari plus kuliweka katika matendo ... Sign and Token

Tunafatilia online services

Ila church hatuendiiii ... Hatupendiii ila sisi majobless tunapitia mengi
KUNA JAMAA YANGU UWA NAMUONA ANAENDA CHURCH KIMAZOEA KABISA MAANA NI MUHUNI SANA ATA MATENDO YAKE SIO KABISA NA KILA JUMAPILI LAZIMA AENDE CHURCH ATA KAMA ANA HANGOVER AU KATOKA KUZINI USIKU WAKE
 
Kweli Mkuu! Kwenda kanisani sio ishara ya mtu kuonekana ndo hajafungwa ... Speaking from hoja ya vifungo, as he's mentioned

Mtu anaweza kwenda kanisani kila jumapili au kila jumamosi lakini asinufaike kwa chochote!

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu ya mazoea! Hiyo ibada

Kuna watu wanaenda Chachi kwa sababu tu ya kutoonekana kuwa sio waasi!

Kuna pipo zinaenda chachi ili siku akifa kanisa lisije likamtenga katika kuzika maiti yake! Huu ni uzwazwa ... Ulikuwa na Simba nyikani nani atakuzika?

Ni wachache sana wanao kwenda chachi kwa ya kwenda kuabudu ... Worshipping the Lord it's all about intimacy and fellowship (Koinonia)

Ni wachache wanapenda chachi strategically ... Kujifunza na kuongeza Maarifa kwa neno la Mungu! Kupata ufunuo na majibu ya maisha yao

Yesu alisema " Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure ..."

Afu Kuna wakina sisi .. no church but we love the Lord

Tunasali na kufunga plus kutoa fungu la kumi

Tunasoma neno na kulitafakari plus kuliweka katika matendo ... Sign and Token

Tunafatilia online services

Ila church hatuendiiii ... Hatupendiii ila sisi majobless tunapitia mengi
Hongera upo hatua nzuri ukienda kanisani utakuwa zaidi kiroho
 
Kwenda kanisani na kusali ni vitu viwili tofauti! makutupora dosho12 Intelligent businessman

Ebu ifike mahali maafisa usafirishaji mtu heshimu hussle zetu, tunalisha kupitia boda boda mzee
Hizi Takwimu za vijana wa Jf😃😃😃, kaona kundi la watu wachache akajumuisha boda boda wote, Atuambia ni kazi gani ambayo watu wake 100 percent wanaenda makanisani na misikitini pia hawana uhuni
 
Lakini Wa Kwenye Maofisi Makubwa Huko Wanaotafuna Kodi Zenu Haswa Hawajafungwa
 
Ma
Bodaboda wanahitaji maombi sana ili wamrudie Mungu Hawa vijana ni kama wengi wamefungwa bila wao kujua.

Kanisa ndio sehemu sahihi ya mtu kupata msaada na maarifa ya kupata pesa kihalali huko club na sehemu zingine za starehe hamwezi kupata mafanikio ujumbe wangu fanyeni kazi msimsahau Mungu
Malizia hapo mkuu ili neno
“hii ni kwamujibu wa Imani yangu”
 
Back
Top Bottom