Wananisakama kuhusu meno yangu hadi tabasamu langu limeisha

Jikubali na piga tabasamu lako la nguvu... Watakaocheka nawe wacheke.
 
We tabasamu tu ili wayazoee ukiendelea kuyaficha hawatayazoea. Mbona harmorapa walimwita sokwe lakin akafurahia tu na saiz wanaona kawaida hivi vitu ni vya kawaida sana
 
Pole sana kwa hilo. Kwanini ukose Furaha kwasababu ya watu hao?
Nakulaumu kwa kuikaribisha huzuni hali ya kuwa wewe si kilema. Yaani meno tu!!!! Wakikucheka wewe ongeza kuwaonesha meno. Wapo watu wanaoweza kosa Furaha ila si kwa meno ya aina hiyo
 
0763 403 061 doct hosp inaitwa maria Arusha
 
We unadhani waliotengeneza meno ya dhahabu walipata wapi idea ? Waliangalia meno ya watu wa Arusha yakawavutia wakaona na wao watengeneze kama hayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…