Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inapatikana wapi?kendwa rock
kizimkazi..Inapatikana wapi?
Sipajui..kizimkazi..
Vipi, wageni tunakaribishwa?Hyatt
nipo upande wa kushoto
takupelekaSipajui..
karibu 😃Vipi, wageni tunakaribishwa?
Jitahidi utumie mpaka nauliKaribu the Pillars Arusha. Soon ninakuwa pale. Weekend imeanza 🍻🍻
Sawa nakusubiritakupeleka
huko ndo kuna bata batani...Sipajui..
Bili atalipa nani?karibu 😃
Ungetuwekea kapicha, ingependeza zaidihuko ndo kuna bata batani...
Hiyo haiwezi tokea.Jitahidi utumie mpaka nauli
Kuna watoto wazuri ndugu? Maana mimi ni mgeni huku vip kuhusu pia viwanja vingine ambavyo unakuta pisi kali za kumwaga?Karibu the Pillars Arusha. Soon ninakuwa pale. Weekend imeanza 🍻🍻
Arusha RahaWananzengo vipi?
Leo tunaenda kula bata wapi?
Wanasema kazi na dawa; ukiwa bize sana ni sawa na kutumia mikono yako kusukuma mlima ili uweze kuhama.
Twende kazi!
Binafsi sijihusishi sana na totoz maana nimeshaoa.Kuna watoto wazuri ndugu? Maana mimi ni mgeni huku vip kuhusu pia viwanja vingine ambavyo unakuta pisi kali za kumwaga?