Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi ulale hapo hapo mpaka asubuhiHiyo haiwezi tokea.
Sihitaji nauli kurudi kwangu boss.
Watakuja kukupa muongozo, jitahidi utembelee maeneo yale classic ili upate vitu vizuri zaidiWakuu nipo mwanza wapi totoz kali zinapatikana niburudike wikend?
Maua maua yapo lakini?Arusha Raha
kwanza mnaalikana tu vyengine humu vinakunywa juice tu vinalala! mtu wa hivyo anatoka anaenda kufanya nini si heri alale tu atulize kitovu!..Ungetuwekea kapicha, ingependeza zaidi
Jitahidi kuzichunguza kama ni orijinoSavanah namalizia Makutano (Iringa) .Konyagi nyingii msosi kidunchuu.
N:B Watu wananiambia toka nimeanza kunywa konyagi akili zangu zimeongezeka vibaya mnoooo.
Uko chupa ya ngapi?karibu skewers hapa upanga.....
Toa location ya eneo la tukio tusogeeWananzengo vipi?
Leo tunaenda kula bata wapi?
Wanasema kazi na dawa; ukiwa bize sana ni sawa na kutumia mikono yako kusukuma mlima ili uweze kuhama.
Twende kazi!
mimi napiga misosi tu situmii vileo..Uko chupa ya ngapi?
Kuburudika ni muhimu sanakwanza mnaalikana tu vyengine humu vinakunywa juice tu vinalala! mtu wa hivyo anatoka anaenda kufanya nini si heri alale tu atulize kitovu!..
kutoka ni kunywa kulewa unacheza mpk unakanyaga waya mziki unazima unagombana na dj,na unavimba hakuna wakukushika akijotokeza mtu unamlamba bichwa la pua asubuhi ndugu zako watakukuta selo katika hali ya maghafiriko!..😂
Jumatano tutarudi kwenye ule uzi 😀😀Mshahara bado dah Ngoja nilale.
Hapana mkuu.Jitahidi ulale hapo hapo mpaka asubuhi
Tatizo bajeti ndogo mkuu 😀😀Toa location ya eneo la tukio tusogee
Hahahaa dah ushafufuliwaJumatano tutarudi kwenye ule uzi 😀😀
Kwa nini hutumii?mimi napiga misosi tu situmii vileo..
Mkuu uku kla mahali mau n ww tu mpaka zmezdMaua maua yapo lakini?
Muhimu kuburudika na jamiiHapana mkuu.
Mimi kutoka ni kwasababu its a great way to unwind and catch up with friends au kama kuna restaurant mpya nzuri town naenda pale kujaribu cocktails au kula vyombo kiaina na washkaji.
ha ha ha jumatatu itakuwa bila bilaHahahaa dah ushafufuliwa