Wanao post clip kwenye mitandao ya kijamii hupata vipi kipato?

Wanao post clip kwenye mitandao ya kijamii hupata vipi kipato?

Tajiri Sinabay

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,619
Habarini wakuu.

Kuna hawa watu hupost picha/video za kuchekesha kufundisha kuburudisha na vinginevyo katika mitandao kama vile YouTube Instagram Tik Tok nk.

Akili yangu inaniambia hii ni biashara lakini huwa nabaki na swali kama ni biashara hawa watu huwa wanalipwa vipi/wanapataje faida.

Naombeni ufafanuzi wakuu niangalie namna ambavyo naweza kujipanga kuiendea hii fursa.
 
Hilo jina itakuchukua miaka mingi kutoboa.

Jina walilokupa wazazi wako huwa halina madhara Ila ulilojipa wewe lina madhara kuwa makini sana
Naelewa mkuu itabidi nilibadilishe tu sina namna maana Shimba ya Buyenze aliwahi kunishauri siku chache nyuma ila sikuwahi kuona kama ni ishu sana
Screenshot_20250111_193428.jpg
 
Ahaa sawa, lakini mbona umenishauri kupitia huu uzi mkuu, ama unamaanisha humu jf naweza kukosa msaada mahali kwa sababu ya hili jina?
Tumia jina lako kamili, inakuwa ni rahisi kupata influence ya watu. Kuna member yupo humu anaishi UK aliona thread yangu na akawa anahitaji msaada wa mambo yake.

Kwa sababu aliangalia jina langu lina blue tick akaniamini na Kanishirisha mambo yake na akawa anatuma mpaka hela kutoka UK.

Sio huyo tu wapo wengi na la mwisho zingatia na unachoandika humu. Unaweza ukatengeneza Heshima au ukaonekana ni kama wale wale tu......
 
Tumia jina lako kamili, inakuwa ni rahisi kupata influence ya watu. Kuna member yupo humu anaishi UK aliona thread yangu na akawa anahitaji msaada wa mambo yake.

Kwa sababu aliangalia jina langu lina blue tick akaniamini na Kanishirisha mambo yake na akawa anatuma mpaka hela kutoka UK.

Sio huyo tu wapo wengi na la mwisho zingatia na unachoandika humu. Unaweza ukatengeneza Heshima au ukaonekana ni kama wale wale tu......

Tulikubaliana mambo yale yawe Siri lakini ninaona hadi masuala ya kutuma fedha unayaanika huku.
 
Ahaa sawa, lakini mbona umenishauri kupitia huu uzi mkuu, ama unamaanisha humu jf naweza kukosa msaada mahali kwa sababu ya hili jina?
Hapana simaanishi hivyo sema tu hilo jila lako lina sound negative , jambo ambalo kwa mtazamo wa kwaida tu umaskini sio jambo jema la kuji shikiza nao , usijali sana inawezekana nimeshalewa labda .
 
Shukrani mkuu, kwahiyo kwa kuanza naweza kula mbao za kutosha hadi niweze kupata hayo matangazo ya kwenye platform? Maana nahisi ya kukutaka mtu kwenye biashara yake itachukuwa muda
matangazo ya platform yana vigezo ambavyo lazima ufikie

ili utangaze biashara za watu, inabidi uwe na jina, kwahiyo nadhani unatakiwa uwe na watazamaji wa kutosha
 
Back
Top Bottom