Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani kivipi?
We si unaamini kwamba mtu àkijiita masikini basi inakuwa kweli?Imani kivipi?
Wapi nimeandika hivyo?We si unaamini kwamba mtu àkijiita masikini basi inakuwa kweli?
Sasa unamaanisha Nini kuandika kwamba ID yake imekaa negative? Usivunge maana yako Ni kuwa unahofu kuwa anaweza kuwa masikini kweli. Hiyo Ni imani vilevileWapi nimeandika hivyo?
Anaweza kuwa maskini kivip? Unaelewa unachokiandika kweli wewe? Au unavyoelewa wewe unalazimisha mimi nielewe hivyo ? Ukijiita mat,,,,ko nikwel utabadilika na kuwa hivyo? Na hilo jina lina sound vizuri?Sasa unamaanisha Nini kuandika kwamba ID yake imekaa negative? Usivunge maana yako Ni kuwa unahofu kuwa anaweza kuwa masikini kweli. Hiyo Ni imani vilevile
Bora ujiite kijana mtaftaji! Au kijana wa uthubutu au kijana wa ndoto, kijana wa matumaini,maskini haikubaliki hata kwa ndugu zake!Hata kama anahoja haziheshimiwi .Tupa jina Hilo.Naelewa mkuu itabidi nilibadilishe tu sina namna maana Shimba ya Buyenze aliwahi kunishauri siku chache nyuma ila sikuwahi kuona kama ni ishu sanaView attachment 3200902
Fafanua basi ulimaanisha Nini mbona mi naona linasound good tu. Ameamua kujiita masikini Kama ilivyo Mimi nyoka in hahaha!Anaweza kuwa maskini kivip? Unaelewa unachokiandika kweli wewe? Au unavyoelewa wewe unalazimisha mimi nielewe hivyo ? Ukijiita mat,,,,ko nikwel utabadilika na kuwa hivyo? Na hilo jina lina sound vizuri?