Mkurugenzi Wa Mashirika Member Joined Oct 23, 2022 Posts 97 Reaction score 99 Oct 13, 2023 #1 Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa.
Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa.
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 Oct 13, 2023 #2 Physics na chemistry said: Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa. Click to expand... Ndo imekuuma mkuu mpaka umekuja kuandika hapa?. Toa na wewe koneksheni kwa unaowapenda ili na wewe nundu litoke shingoni liende mgongoni
Physics na chemistry said: Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa. Click to expand... Ndo imekuuma mkuu mpaka umekuja kuandika hapa?. Toa na wewe koneksheni kwa unaowapenda ili na wewe nundu litoke shingoni liende mgongoni
njumu za kosovo JF-Expert Member Joined Mar 9, 2017 Posts 3,820 Reaction score 9,625 Oct 13, 2023 #3 Sir Midabwada said: Ndo imekuuma mkuu mpaka umekuja kuandika hapa?. Toa na wewe koneksheni kwa unaowapenda ili na wewe nundu litoke shingoni liende mgongoni Click to expand... Atakua ngamia sasa
Sir Midabwada said: Ndo imekuuma mkuu mpaka umekuja kuandika hapa?. Toa na wewe koneksheni kwa unaowapenda ili na wewe nundu litoke shingoni liende mgongoni Click to expand... Atakua ngamia sasa
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Oct 13, 2023 #4 Nundu Bhalaa ?Mama Abdul Kapasua Jipu
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,400 Reaction score 14,339 Oct 15, 2023 #5 Hakuna kitu kama hicho ya mtumishi akifa Leo na kesho ni siku ya mshahala Kwa wizi uliopo mshahala huo hato pata 🤣🤣🤣 Kiufupi ukifa na lako limeisha inakuwa huwadai awakudai
Hakuna kitu kama hicho ya mtumishi akifa Leo na kesho ni siku ya mshahala Kwa wizi uliopo mshahala huo hato pata 🤣🤣🤣 Kiufupi ukifa na lako limeisha inakuwa huwadai awakudai
Iceberg9 JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 24,893 Reaction score 47,768 Oct 15, 2023 #6 Mkurugenzi Wa Mashirika said: Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa. Click to expand... Kwanini na wewe usiingie kwa kubebwa,ukiacha jitihafa binafsi ila nyota yako pia inakubeba kukufanya kukubalika
Mkurugenzi Wa Mashirika said: Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa. Click to expand... Kwanini na wewe usiingie kwa kubebwa,ukiacha jitihafa binafsi ila nyota yako pia inakubeba kukufanya kukubalika