Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There is only natural powers within you and your ancestors,Na vipi kuhusu mungu
KabisaZile amri kumi wanazoita za mungu ni natural community rules zilizotumiwa na jamii mbalimbali kuongoza jamii zao
How can I communicate with themThere is only natural powers within you and your ancestors,
Kamb😄😄There is only natural powers within you and your ancestors,
Back to roots, angalia kwenu walifanya kipi Kwa ufanisi, anza kufanya kama walifuga Kwa mafanikio wewe fuga, kama walilima Kwa mafanikio wewe lima, usijikute unafanya biashara miaka yote hufanikiwi kumbe umepotea njia,How can I communicate with them
Hilo nenoBack to roots, angalia kwenu walifanya kipi Kwa ufanisi, anza kufanya kama walifuga Kwa mafanikio wewe fuga, kama walilima Kwa mafanikio wewe lima, usijikute unafanya biashara miaka yote hufanikiwi kumbe umepotea njia,
Hyo NI utapeli hela wanaweka mfukoniUnaenda kutenga kichwa Kwa mtu eti anakuombea, na hela unamlipa, hujiulizi huyo mungu ambaye hajapungukiwa na kitu, aliejitosheleza ambae anatakiwa akupe wewe mwenye dhiki, anachukua na pesa yako kidogo tena habagui pesa iwe ya wizi, utapeli anachukua, sasa kwanza wanaosema umtolee mungu hua wanazituma vipi hizo pesa mnazowapa
Umeongea point sana ndugu yangu ila naomba niongezee kitu,,Mungu yupo ila njia/dini iliyoletwa na wazungu sio njia/dini sahihi ya kumuabudu Mungu,ile ni njia ya kuwanufaisha wavuvi wachache waweze kuwanyonya wenye nguvu na wachapa kazi wengi ivyo kwa sisi waafrika njia sahihi ya kumuabudu Mungu na kuweza kuuona ukuu wake kwenye maisha yetu ni NJIA ZA ASILI ZA BABU ZETU!!!Hawa watu msiwatukane, wasikilizeni maana Wana maana Yao kusema hivyo, wengi wao wanaoamini hivyo wameamua kua hivyo kutokana na magumu na machungu waliyokutana nayo kwenye maisha na walipomuhitaji Mungu hakuwasaidia.
Unakuta mtu ana jambo linalomnyima furaha kwenye maisha, ametafuta msaada kwa MUNGU nae hajamsaidia, sasa mtu anashikwa na gadhabu " Kweli huyu Mungu kama yupo kwanini hanisaidii kwenye hili? Na tunaambiwa NI Mungu muweza wa yote"
Unajua kuna mengi Sana yanaendelea kwenye hii Dunia unajiuliza Mungu anaona kweli? Na kama anaona mbona hazuii haya??
Kwamimi naona hawa Atheist ⚛️ Wana hoja wasikilizwe, Mimi binafsi sio Atheist lakini kuna mambo yanatokea kila kukicha naona kama mbona kama hawa jamaa Wana hoja? Yani kila siku zinavyoenda naona kama hawa jamaa wana point.
Binafsi napata utata, siamini kama Dunia ilitokea tuu from no where, naamini lazima alikuwepo muumbaji lakini wasiwasi wangu NI KWELI HIZI SIFA ZA HUYU MUUMBAJI "Mungu" tunazozisikia na kuzisoma zina ukweli?
Je Mungu ana huruma kweli? Mbona yanayoyokea sioni kama kweli ana huruma na watu wake?
Mimi naona Ni
*Mbinafsi
*Hana huruma
*Kiburi
*Kuna mambo yako nnje ya uwezo wake
Au nawaza baada ya kuumba ulimwengu na vilivyomo, yeye akamtupa shetani na majini duniani Sisi binadamu wake anaotupenda tupambane, halafu yeye akakaa pembeni!?
Nataman sana niabudu DINI za asili ambazo zilikuepo kabla ya ujio wa waarabu na wazungu, lakini nashindwa nianzie wapi Mimi Nina asili ya Kagera japo sipajui.
Kwasasa nikiona mtu anaenda kanisani Yani naona kama ametoka kudanganywa 😀 sijui nimeshaathirika kisaikolojia, kanisani sijawah kukanyaga mwaka wa 15 huu ( lakini cha kushangaza Mimi ni mtu mwema kuliko hata hao wanaojazana kanisani maana wengi nakaa nao huku mtaani, wengi walevi tuu na wanapenda sana ch*pi!
Nipe muongozo wakuu kua muumini wa DINI za asili kabla ya ujio wa waarabu na wazungu naanzia wapi??
Hizo njia sasa ndio nataman sana nizijue, nataman nijikite hukoUmeongea point sana ndugu yangu ila naomba niongezee kitu,,Mungu yupo ila njia/dini iliyoletwa na wazungu sio njia/dini sahihi ya kumuabudu Mungu,ile ni njia ya kuwanufaisha wavuvi wachache waweze kuwanyonya wenye nguvu na wachapa kazi wengi ivyo kwa sisi waafrika njia sahihi ya kumuabudu Mungu na kuweza kuuona ukuu wake kwenye maisha yetu ni NJIA ZA ASILI ZA BABU ZETU!!!
Nenda nyumbani kwenu I mean at your genesis,tafuta wazee watakuonyesha njia sahihi za kupita kwa kuwa kila njia zipo nyingi na tofauti kulingana na kabila na ukandaHizo njia sasa ndio nataman sana nizijue, nataman nijikite huko
Hapo sawaNenda nyumbani kwenu I mean at your genesis,tafuta wazee watakuonyesha njia sahihi za kupita kwa kuwa kila njia zipo nyingi na tofauti kulingana na kabila na ukanda
Kumbafu zakoHawa watu msiwatukane, wasikilizeni maana Wana maana Yao kusema hivyo, wengi wao wanaoamini hivyo wameamua kua hivyo kutokana na magumu na machungu waliyokutana nayo kwenye maisha na walipomuhitaji Mungu hakuwasaidia.
Unakuta mtu ana jambo linalomnyima furaha kwenye maisha, ametafuta msaada kwa MUNGU nae hajamsaidia, sasa mtu anashikwa na gadhabu " Kweli huyu Mungu kama yupo kwanini hanisaidii kwenye hili? Na tunaambiwa NI Mungu muweza wa yote"
Unajua kuna mengi Sana yanaendelea kwenye hii Dunia unajiuliza Mungu anaona kweli? Na kama anaona mbona hazuii haya??
Kwamimi naona hawa Atheist ⚛️ Wana hoja wasikilizwe, Mimi binafsi sio Atheist lakini kuna mambo yanatokea kila kukicha naona kama mbona kama hawa jamaa Wana hoja? Yani kila siku zinavyoenda naona kama hawa jamaa wana point.
Binafsi napata utata, siamini kama Dunia ilitokea tuu from no where, naamini lazima alikuwepo muumbaji lakini wasiwasi wangu NI KWELI HIZI SIFA ZA HUYU MUUMBAJI "Mungu" tunazozisikia na kuzisoma zina ukweli?
Je Mungu ana huruma kweli? Mbona yanayoyokea sioni kama kweli ana huruma na watu wake?
Mimi naona Ni
*Mbinafsi
*Hana huruma
*Kiburi
*Kuna mambo yako nnje ya uwezo wake
Au nawaza baada ya kuumba ulimwengu na vilivyomo, yeye akamtupa shetani na majini duniani Sisi binadamu wake anaotupenda tupambane, halafu yeye akakaa pembeni!?
Nataman sana niabudu DINI za asili ambazo zilikuepo kabla ya ujio wa waarabu na wazungu, lakini nashindwa nianzie wapi Mimi Nina asili ya Kagera japo sipajui.
Kwasasa nikiona mtu anaenda kanisani Yani naona kama ametoka kudanganywa 😀 sijui nimeshaathirika kisaikolojia, kanisani sijawah kukanyaga mwaka wa 15 huu ( lakini cha kushangaza Mimi ni mtu mwema kuliko hata hao wanaojazana kanisani maana wengi nakaa nao huku mtaani, wengi walevi tuu na wanapenda sana ch*pi!
Nipe muongozo wakuu kua muumini wa DINI za asili kabla ya ujio wa waarabu na wazungu naanzia wapi??
Sawa, mkishashindwa cha kujibu mnatukana tuu, ndio Mungu alivyowafundisha au sioKumbafu zako
Wale walio liwa na wanyama wakali kama simba mamba na fisi atakutanao wapi?Uamini mungu yupo,au usiamini HAKUMPUNGUZII CHOCHOTE YEYE.maan yeye hana huitaji kwako.bali wewe unamuhitaji.mtakutana kaburini
Hata sisi hatuna haja nae😂😂.kwa akili zako unadhani Mungu anataka nini kwako?au anakutegemea kwa lipi?.wala hana haja na wewe